Looking for my soulmate and future husband

Looking for my soulmate and future husband

umri huo unaoutaka wewe utaishia kuchezewa tu. Wanaume wengu katika umri huo ni aidha wameoa tayari ama wana wapenzi wao.
 
Hamy-D - Hayo ni mawazo yako. But ungeniambia hiyo ni research gani ambayo ilisema hivyo; I guess umekurupuka tu. Ingawa haikua lazima ukomment on this post if u had nothing positive to say!
 
Nyalotsi - Hiyo ndio age & vigezo nilivyo vitaka mimi. Kama wewe ulichukua tu mwenza wako bila kuangalia chochote ni maisha yako. So, i guess choice yangu wala haikuhusu. Jamani; tuache negative thinking. Hata nikikosa au nikaenda kuchezewa ni mimi. Sioni inawauma nini watu wengine humu ndani!
 
Kama una mi-frustration yako ya maisha hujalazimishwa kukoment kwenye hii post. Unaweza ukapita tu!
 
Nyalotsi - Hiyo ndio age & vigezo nilivyo vitaka mimi. Kama wewe ulichukua tu mwenza wako bila kuangalia chochote ni maisha yako. So, i guess choice yangu wala haikuhusu. Jamani; tuache negative thinking. Hata nikikosa au nikaenda kuchezewa ni mimi. Sioni inawauma nini watu wengine humu ndani!

haki unao .Unaemtafuta ndio mwenza wako kesho na ndio ufunguo wa familia yako ya kesho.Endelea kutafuta.pengine tayari hupo anakusibiri Lakini usikae mkali sana kwa vile utajiumiza moyo.Kumbuka dunia ya kisasa imejaaliwa kila aina ya wa sanii waume na wakike !!!!
Mungu akupe ushindi
 
Duu apo mi tayari nishakosa vigezo dah kwel wakubwa wanafaidi:confused2:
 
Hello my fellow JF Members,

Mimi ni msichana mwenye miaka 33, msomi, na ni muajiriwa Serikalini. Carreer-wize I am doing ok but I think it’s about time I meet my future husband & soulmate wangu.

I would like him Awe na umri kuanzia 33-45,awe mrefu, mwili wa wastani, rangi it doesn’t matter, awe na kazi, na awe mcha Mungu. Kama una vigezo hivyo muhimu.

Please feel free to PM me

Asante

kama upo serious txt me on 0755485448
 
Nyalotsi - Hiyo ndio age & vigezo nilivyo vitaka mimi. Kama wewe ulichukua tu mwenza wako bila kuangalia chochote ni maisha yako. So, i guess choice yangu wala haikuhusu. Jamani; tuache negative thinking. Hata nikikosa au nikaenda kuchezewa ni mimi. Sioni inawauma nini watu wengine humu ndani!

Kama huto jali PM
 
Je mfanyabiashara unamkubali?Maana umesema awe na kazi nawe muajiriwa,wengine tu ktk biashara unasemaje?
 
Back
Top Bottom