Looking for Gf wa Kiislam

Looking for Gf wa Kiislam

brazuka

Senior Member
Joined
May 30, 2014
Posts
159
Reaction score
257
Nlikua sijali kuhusu dini but I come to realize swala la udini bado lipo kwenye vichwa vya wasichana wengi.
Nmekuwa na waschana wa kikristu coz wengi hufikiri mimi mkristu ila pale tunaposet malengo na kisha kuamini mi muislam tunaachana. Mimi naishi na kufanya kazi dar (posta).
Umri:26

Nataka sifa zifuatazo
1. mzuri na mwenye akili timamu
2. Age 23-25
3. Anaishi Dar
4. Awe na shughul rasmi kumuingizia kipato
5. Mcheshi, mchangamfu, rafiki

If you are serious PM, it might be a destiny!!!
 
Mkuu sasa mnbona unachagua kazi? Kwa hiyo wasio na shughuli rasmi mfano mama ntilie, wauza mitumba, n.k hawana nafasi!!!

Mbona dini yetu shehe haijaweka hicho kipengele cha kazi rasmi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom