Kwenye RED kwani amekwambia anataka kufanya tambiko ama kuswalisha? Hivi nyinyi watu bado mpo wakati huu dunia imekuwa kijiji?
hahaha gotcha yah!! married for 35 years and am currently 45 yrs old...
Ahsanteni wote mlioshiriki, umri huo naamini kabisa huyo mpendwa atakua tayari kuwa na mimi, hawa wengine tulio umri mmoja naona bado wanatafuta. Samahani kama nimemkwaza mtu jamani hayo ni mawazo yangu, kwa kile nnachohitaji
31 unatafuta male wa 45 and 55, hao ni wazee sana. Hawatakidhi haja zako za kimwili.
Hata kama upo desperate, subiri usiwe na haraka utapata wa age yako.
Ahsanteni wote mlioshiriki, umri huo naamini kabisa huyo mpendwa atakua tayari kuwa na mimi, hawa wengine tulio umri mmoja naona bado wanatafuta. Samahani kama nimemkwaza mtu jamani hayo ni mawazo yangu, kwa kile nnachohitaji
Nimekupenda buree.... mwaaa!
Hi my name is Princess aged 31 looking for a serious male friend, am a single mother and i am in need of single dad so that we can make a good relationship.