Natafuta lawyer ambaye anajua vizuri sheria za Tanzania kuhusiana na Intellectual Property (IP) rights, specifically Trademarks, Copyrights, and other related rights.
mmh inategemea unamtaka kwa ajili ya nini? kama ni kwa ajili ya litigation au kama ni kwa ajili ya kuregister patents!!!
Ukisema ndio tunaweza kukujibu ni yupi anafaa kati ya malwyer waliopo tanzania. wapo wengi tu.
mmh inategemea unamtaka kwa ajili ya nini? kama ni kwa ajili ya litigation au kama ni kwa ajili ya kuregister patents!!!
Ukisema ndio tunaweza kukujibu ni yupi anafaa kati ya malwyer waliopo tanzania. wapo wengi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.