audacious
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 239
- 391
Wadau natumai mko poa..
Nimebahatika Kutembelea Cairo hapa Misri kwa Ma pharao's.Nipo mitaa ya Ramses hapa.
Nina siku mbili katika Jiji hili la Waarabu kama kuna Mtz yuko hapa lets keep in touch.
Akiwa mwanamke itapendeza Zaidi ,kama Rais ni Mwanamke lazima Tuheshimu Women Power.(Au nasema Uongo ndugu zangu?).
Nimebahatika Kutembelea Cairo hapa Misri kwa Ma pharao's.Nipo mitaa ya Ramses hapa.
Nina siku mbili katika Jiji hili la Waarabu kama kuna Mtz yuko hapa lets keep in touch.
Akiwa mwanamke itapendeza Zaidi ,kama Rais ni Mwanamke lazima Tuheshimu Women Power.(Au nasema Uongo ndugu zangu?).