si peke yako kaka na mimi pia. inatia huruma na usishangae ukaambiwa nchi yake imejaa mali za kila aina.Mbuzi Mzee,
nimetoa chozi kwa ajili ya huyu mtoto.
Mhh, am trying to convince my mental faculties to absorb this! Tanzania? Land of peace? What peace? God will punish us for failure to make a better life for these kids.
Mzee Rais Kikwete mwenyewe hajaiona hii picha? Mbuzi Mzee
Miaka 20 ijayo anaweza kuwa ndio Mbunge wa hilo eneo analoishi Ya Mungu ni mengi hamuwezi kujuwa Mkuu Mbuzi Mzee
Hawa ndio watakuwa Viongozi wa Taifa hili miaka 20 ijayo Mbuzi Mzee
Mzee Rais Kikwete mwenyewe hajaiona hii picha? Mbuzi Mzee