Long distance relationship

Long distance relationship

Jogoolakiume

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
15
Reaction score
4
Nilikuwa napenda sana mahusiano ya mbali lakini sikuhizi siyataki baada ya mwenzangu kutoonyesha kuni..miss au kuwa na hamu na mimi wakati hatujakutana siku nyingi...Halaf simu yake hata akienda kuoga anaenda nayo sijui anaficha kitu gani wakati sijawahi kuichunguza hata siku moja...nataka nimwambie tuachane kwasababu sina raha nae..kuna ubaya nikijitoa wadau..?
 
wee jitoe tuu kaka....hayo mambo ya long distance full uzushi tuu. mapenzi hapa kwa hapa kaka
 
Ndiyo maana wimbo wa Brandy unanisikitisha ingawa pia naupenda kwa sauti na beat zake nzuri.

Asanteni Brandy na Bruno Mars kwa utunzi wake wa wimbo huu na mwisho kwa Mzee Dark Child.



Long Distance si mchezo bana na mkishinda huo mtihani kwa kweli mko mbali sana.
 
Last edited by a moderator:
Du hii imeniingia sana kwani hata na mimi nadate dada ambaye yuko kenya na mimi niko Dar. Shughuli hapo.
 
Nilikuwa napenda sana mahusiano ya mbali lakini sikuhizi siyataki baada ya mwenzangu kutoonyesha kuni..miss au kuwa na hamu na mimi wakati hatujakutana siku nyingi...Halaf simu yake hata akienda kuoga anaenda nayo sijui anaficha kitu gani wakati sijawahi kuichunguza hata siku moja...nataka nimwambie tuachane kwasababu sina raha nae..kuna ubaya nikijitoa wadau..?

Mh toka mwaya, en pole kumbe 2po wengi
 
Thanx guyz....design kama nilishaanza kumshit....so kama vp mmenipa go ahead...
 
dalili ya mvua ni......)Kama hujui subiri mvua...atakumwaga kesho urudi kutuuliza umbembeleze vipi.
 
Haya makitu upuuzi sana. I lost a lot of my time collecting stones while leaving diamonds. Imenisababishia kutokuwa na interest kabisa na wanawake mpaka dada zangu.
 
LDR is really a challenge...!! muda mwingine nakuwa na mixed feelings!
 
Una uhuru wa kujitoa 100% hasa kwa hatua hizi za mwanzo kama unaona mambo sio mazuri ili usije juta mbeleni.
 
Ctak stress....hela natafuta kwa tabu..wa kula nae pia anisumbue....!
 
Ctak stress....hela natafuta kwa tabu..wa kula nae pia anisumbue....!

No bwana kaa nae mueleze kabisa huna feelings nae kwa sababu ulizozisema na muambie live kuwa unaprogram ya kujitoa muda si mrefu.Maelezo yake ndo go ahead ya kweli ilishawahi kunikuta hata mimi nikaelezwa kuwa nimechange ila kumbe na mimi nilikuwa namdoubt mwenzangu hivyo hivyo nikawa nachat ya pembeni ili nijibembereze lakini sikutaka nicheat was simple flirt.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom