London International Conference on Somalia

When will this world be peaceful and in harmony for everyone????
 
When will this world be peaceful and in harmony for everyone????
That is an utopia my dear... I can't see how.
But it can become a better place if we want. Not perfect, but better.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
she is a fellow at IDS... (herewith the article)
Abstract (from here):
MWALIasante sana kwa hiki kitabu

. Like Tanzania na EAC nzima ilitakiwa kusupport, kuchangia, AU kutuma majeshi na pesa etc. But nothing happened.
Bado ninajiuliza kwa nini Kenya ilijiingiza kwenye vita hivi bila ya kushauriana na viongozi wa EAC, ambapo ukiwachia Ruanda na Burundi ambazo bado hawajaonja (nafikiri) joto ya Al-Shabaab/Al-Qaeda nchini mwao, zilizobakia zote ni waathirika wa mashambulizi ya hawa wanamgambo. Kama wangeunganisha nguvu zao pamoja na Ethiopia na Djobouti chini ya uongozi wa AMISOM, ingekuwa afadhali (sio rahisi).

Historia inatuonesha udhaifu wa nchi wavamizi katika nchi wanazovamia, tukichukua mfano US yenyewe na kisago ilichopata Vietnam na Somalia kwenyewe. Kenya ilithubutuje kuingia kichwa kichwa (bila ya kushauriana na TZ, sasa maji yamewakaa shingoni ndio wanatafut msaada wa nchi nyengine. Binafsi ningependelea TZ ishiriki kule kwa sababu usalama wa mipaka ya Kenya ni usaama wa TZ.

That is an utopia my dear... I can't see how.
But it can become a better place if we want. Not perfect, but better.
Hiki kitu hakiwezekani. Sina hakika sana, lakini nina wasiwasi kuwa kuanzia siku ilipoanza WWI mpaka leo, dunia imekuwa uwanja wa vita na mateso mfululizo. Ikiwa kuna mtu aliye na kumbukumbu ya siku ambazo kumekuwa na amani bila ya vita katika kipindi hicho au katika historia ya Mwana wa Adam.
 
MAMMAMIA said:
Bado ninajiuliza kwa nini Kenya ilijiingiza kwenye vita hivi bila ya kushauriana na viongozi wa EAC,
MAMMAMIA, Kenya kama wanalalamika, kwa jinsi navyowajuwa, lazima itakuwa ni kwamba hawajapewa pesa ya kutosha, ndo maana wanalalamika.

Walidhani mmarekani atamwaga madola kama kule Pakistan na kwingineko.
 
I hope Membe & Co wamenegotiate interests zetu vizuri.

Waingereza kama kawaida yao hawafanyi jambo bila kuwa na maslahi

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Britain leads dash to explore for oil in war-torn Somalia
Latest-from-Somalia-conference.jpg



Britain is involved in a secret high-stakes dash for oil in Somalia, with the government offering humanitarian aid and security assistance in the hope of a stake in the beleaguered country's future energy industry.

Riven by two decades of conflict that have seen the emergence of a dangerous Islamic insurgency, Somalia is routinely described as the world's most comprehensively "failed" state, as well as one of its poorest. Its coastline has become a haven for pirates preying on international shipping in the Indian Ocean.


David Cameron last week hosted an international conference on Somalia, pledging more aid, financial help and measures to tackle terrorism. T
he summit followed a surprise visit by the foreign secretary, William Hague, to Mogadishu, the Somali capital, where he talked about "the beginnings of an opportunity'' to rebuild the country.

The Observer can reveal that, away from the public focus of last week's summit,
talks are going on between British officials and Somali counterparts over exploiting oil reserves that have been explored in the arid north-eastern region of the country. Abdulkadir Abdi Hashi, minister for international cooperation in Puntland, north-east Somalia – where the first oil is expected to be extracted next month – said: "We have spoken to a number of UK officials, some have offered to help us with the future management of oil revenues. They will help us build our capacity to maximise future earnings from the oil industry."
British involvement in the future Somali oil industry would be a boon for the UK economy and comes at a time when the world is increasingly concerned about the actions of Iran, the second-biggest oil producer in Opec.


Hashi, in charge of brokering deals for the region's oil reserves, also said Somalia was looking to BP as the partner they wanted to "help us explore and build our oil capacity"
. He added: "We need those with the necessary technical knowhow, we plan to talk to BP at the right time."

Somali prime minister Abdiweli Mohamed Ali said his government had little choice but to entice western companies to Somalia by offering a slice of the country's natural resources, which include oil, gas and large reserves of uranium. "The only way we can pay [western companies] is to pay them in kind, we can pay with natural resources at the fair market value."

Britain is not the only country looking to develop Somalia's vast natural resources. Last month oil exploration began in Puntland by the Canadian company Africa Oil, the first drilling in Somalia for 21 years. Hashi, who sealed the Africa Oil deal, said the first oil was expected to be extracted within the next "20 to 30 days".

The company estimates there could be up to
4bn barrels (about $500bn worth at today's prices) in its two drilling plots. Other surveys indicate that Puntland province alone has the potential to yield 10bn barrels, placing it among the top 20 countries holding oil. Chinese and US firms are among those understood to have also voiced interest about the potential for oil now that, for the first time in 20 years, the country is safe enough to drill.

Yet it is the extent of oil deposits beneath the Indian Ocean that is most exciting Somali officials.
One said the potential was comparable to that of Kuwait, which has more than 100bn barrels of proven oil reserves. If true, the deposits would eclipse Nigeria's reserves – 37.2bn barrels – and make Somalia the seventh largest oil-rich nation.

The state-owned China National Offshore Oil Corporation has tried to acquire an interest in Somalia's reserves. Senior officials from the Somali transitional government are adamant that the imminent extraction of oil in Puntland next month would kickstart a scramble from the multinationals.
On Thursday, the last day of the London conference, BP and Shell unveiled an initiative to support job-creation projects in the coastal regions of Somalia. A subsidiary of Shell was thought to have acquired exploration concessions in Puntland before the descent into lawlessness in 1991.
A BP spokesman said there were "no plans" to work in Somalia and no official had recently visited the country.

Britain leads dash to explore for oil in war-torn Somalia | World news | The Observer


 
Labda Somalia itatulia sasa, lakini at some expenses of people's lives. Sasa hawa akina JK na Membe walienda kufanya nini kama deal ni la UK na somalia, au ndiyo wanazi wenyewe wa project?
 
Waliombwa kukubali host mahakama za kuwahukumu wasomali watakaokuwa wanakamtwa baharini....tusubiri kulipiziwa na hao janjaweed
 
Waliombwa kukubali host mahakama za kuwahukumu wasomali watakaokuwa wanakamtwa baharini....tusubiri kulipiziwa na hao janjaweed
Wajameni hii ya kuwahukumu maharamia wa Kisomali ni neema ya aina yake kwa mfumo wa mahakama zetu hapa nchini kama ilivyo neema ya ICTR kule Arusha!.

Tanzania kama nchi hatuna mahakama yenye hadhi ya kuhost kesi yoyote ya kimataifa, hata ile ICC iliyotoa iloyosikiliza shauri la Dowans na kuilipisha Tanesco ilikaa hotelini Moven Pick au Kempinski!.

Tanzania sio tuu haina mahakama zenye hadhi hiyo, pia hatuna mahabusu zenye hadhi ya kuwashikilia watuhumiwa wa kimataifa na hatuna jela zenye hadhi ya kuwafunga kutumikia vifungo vyao!.

Wale watuhumiwa wote wa ICTR wanashikiliwa katika majumba ya kifahari kama mahabusu zao!. Wanapiga menu ya maana kutoka mahoteli ya kuaminika na wakisha hukumiwa, wanapelekwa magereza ya ulaya yenye hadhi!.

Hivyo kitendo cha Tanzania kukubali kuwahumu wahalifu hawa, kunamaanisha kwanza Tanzania itajengewa uwezo wa kudumu wa mahakama za kimataifa, mahabusu za kimataifa na magereza ya kimataifa na ili kupunguza double standards za tofauti kati ya mahakama, mahabusu na magereza locals na international, tutajikuta pia tunalazimika kubadilisha hizo locals zifananie!.

Jeshi letu litawezeshwa kulinda doria ya uhakika baharini dhidi ya tishio lolote la retaliation ya Alshababi na jeshi la Kenya litawezeshwa na kupewa baraka zote kuivamia Somalia kuwafyeka Alshababi!. Alshababi wata kwisha, Somalia ita settle na Waingereza watajitwalia mafuta yao kufidia gharama zao zote walizoingia!.
 
hivi kweli mtu unafurahia kujengewa gereza,mahakama at the expense ya kulipuliwa mabomu? Hii akili imetoka wapi,ee Mungu rudi mapema waja wako tunateseka kiuchumi,kimawazo,kiafya hata ushauri ovyo! Kwa nn hao ictr hawakujenga magereza na mahabusu yao? Huo msosi kwani unalipwa na serikali ya tanzania? Humu ndani kwenyewe kuna wasomali kibao,unadhani hiyo mipaka ikilindwa watashindwa kuingia? Umeshasikia mara ngapi fuso imekamatwa na wasomali,mipaka hailindwi? Kwa nn hizo mahakama wasijenge kenya ambao wamejitolea kupambana nao,kenya wamestuka nini? Ogopa sana kucheza na mtu anayefikiri kujilipua na kuua ndo ukombozi wake,ni tofauti kabisa na anayekufyatulia risasi.
 
Wajameni hii ya kuwahukumu maharamia wa Kisomali ni neema ya aina yake kwa mfumo wa mahakama zetu hapa nchini kama ilivyo neema ya ICTR kule Arusha!.

Tanzania kama nchi hatuna mahakama yenye hadhi ya kuhost kesi yoyote ya kimataifa, hata ile ICC iliyotoa iloyosikiliza shauri la Dowans na kuilipisha Tanesco ilikaa hotelini Moven Pick au Kempinski!.

Tanzania sio tuu haina mahakama zenye hadhi hiyo, pia hatuna mahabusu zenye hadhi ya kuwashikilia watuhumiwa wa kimataifa na hatuna jela zenye hadhi ya kuwafunga kutumikia vifungo vyao!.

Wale watuhumiwa wote wa ICTR wanashikiliwa katika majumba ya kifahari kama mahabusu zao!. Wanapiga menu ya maana kutoka mahoteli ya kuaminika na wakisha hukumiwa, wanapelekwa magereza ya ulaya yenye hadhi!.

Hivyo kitendo cha Tanzania kukubali kuwahumu wahalifu hawa, kunamaanisha kwanza Tanzania itajengewa uwezo wa kudumu wa mahakama za kimataifa, mahabusu za kimataifa na magereza ya kimataifa na ili kupunguza double standards za tofauti kati ya mahakama, mahabusu na magereza locals na international, tutajikuta pia tunalazimika kubadilisha hizo locals zifananie!.

Jeshi letu litawezeshwa kulinda doria ya uhakika baharini dhidi ya tishio lolote la retaliation ya Alshababi na jeshi la Kenya litawezeshwa na kupewa baraka zote kuivamia Somalia kuwafyeka Alshababi!. Alshababi wata kwisha, Somalia ita settle na Waingereza watajitwalia mafuta yao kufidia gharama zao zote walizoingia!.

Pasco,
Unaamini katika hilo? Kama wenyewe hatujajijengea uwezo, hawa jamaa hawana lolote lam kutuongezea. Charity begins at home...jinsi tulivyokuwa disorganized haiwezekani tukawa organized kwa msaada wa watu wa marekani au uingereza. Hawa jamaa wanatafuta formula ya kuendelea kuvuna resources zetu kwa kutumia weakness zetu za kutokuwa makini kwenye hata mambo madogo madogo yaliyo ndani ya uwezo wetu.
Sana sana tunakaribisha jamaa kuja kutulipizia visasi.
 
Labda Somalia itatulia sasa, lakini at some expenses of people's lives. Sasa hawa akina JK na Membe walienda kufanya nini kama deal ni la UK na somalia, au ndiyo wanazi wenyewe wa project?
Mkuu, sasa moto ndio unataka kuwaka Somalia
 
Labda Somalia itatulia sasa, lakini at some expenses of people's lives. Sasa hawa akina JK na Membe walienda kufanya nini kama deal ni la UK na somalia, au ndiyo wanazi wenyewe wa project?


Huyo rais wa Somalia ameshakuja kukutana na JK mara nyingi. Labda ilikuwa na kuhusu haya haya.
Anyway, Mwenyezi Mungu awajalie Somalia amani na utajiri ili wajenge nchi yao kwa amani.
Amani Somalia ni Amani kwetu wote.
 
hivi kweli mtu unafurahia kujengewa gereza,mahakama at the expense ya kulipuliwa mabomu? Hii akili imetoka wapi,ee Mungu rudi mapema waja wako tunateseka kiuchumi,kimawazo,kiafya hata ushauri ovyo! Kwa nn hao ictr hawakujenga magereza na mahabusu yao? Huo msosi kwani unalipwa na serikali ya tanzania? Humu ndani kwenyewe kuna wasomali kibao,unadhani hiyo mipaka ikilindwa watashindwa kuingia? Umeshasikia mara ngapi fuso imekamatwa na wasomali,mipaka hailindwi? Kwa nn hizo mahakama wasijenge kenya ambao wamejitolea kupambana nao,kenya wamestuka nini? Ogopa sana kucheza na mtu anayefikiri kujilipua na kuua ndo ukombozi wake,ni tofauti kabisa na anayekufyatulia risasi.

Acha woga wewe! Sijui Mtanzania gani wewe. Kuwa jasiri! Unataka hadi waje walipue neighborhood yako ndio uone uchungu na kukubali mahakama iwepo Tanzania? Gharama za maisha zimepanda sana kwa ajili ya hawa jamaa. Wamechangia sana kupanda kwa bei za mafuta. Huu ni uchungu tosha.
Haujui tayari Al Shabab is attacking our off shore interest. Na haya majamaa bado yanaweza kujilipua tu hapa kwetu.
It is the honorable thing for Tanzania to host Al Shaabab trials.
 
This conference is about oil and NOT Somalia,amani ya kweli itatoka kwa wasomali wenyewe sio British,watakachofanya ni kuweka serikali yao AKA Legit then oil law ambayo ndio itakuwa law of the land itakayosainiwa na "peoples government of Somalia",then brainwashed security trained & paid by the west itakayolinda oil fields za wallstreets na njia zote za mafuta zitakapopita,then watajenga courts,prisons etc za kuwajaza Al shababb na wenzao ambao watajulikana kama terrorist sio wasomali tena...then katiba itaandikwa na British na wenzao na kuwa signed by good people of Somalia,bila kusahau jeshi la kulinda serikali na maofisa wa BP,Exxon mobile etc,bila kusahau peoples goverment of Somalia will sign oil contracts with oil companies for the next 100 yrs...i wish well ndugu zetu wa Somalia!
 
Wajameni hii ya kuwahukumu maharamia wa Kisomali ni neema ya aina yake kwa mfumo wa mahakama zetu hapa nchini kama ilivyo neema ya ICTR kule Arusha!.

Tanzania kama nchi hatuna mahakama yenye hadhi ya kuhost kesi yoyote ya kimataifa, hata ile ICC iliyotoa iloyosikiliza shauri la Dowans na kuilipisha Tanesco ilikaa hotelini Moven Pick au Kempinski!.

Tanzania sio tuu haina mahakama zenye hadhi hiyo, pia hatuna mahabusu zenye hadhi ya kuwashikilia watuhumiwa wa kimataifa na hatuna jela zenye hadhi ya kuwafunga kutumikia vifungo vyao!.

Wale watuhumiwa wote wa ICTR wanashikiliwa katika majumba ya kifahari kama mahabusu zao!. Wanapiga menu ya maana kutoka mahoteli ya kuaminika na wakisha hukumiwa, wanapelekwa magereza ya ulaya yenye hadhi!.

Hivyo kitendo cha Tanzania kukubali kuwahumu wahalifu hawa, kunamaanisha kwanza Tanzania itajengewa uwezo wa kudumu wa mahakama za kimataifa, mahabusu za kimataifa na magereza ya kimataifa na ili kupunguza double standards za tofauti kati ya mahakama, mahabusu na magereza locals na international, tutajikuta pia tunalazimika kubadilisha hizo locals zifananie!.

Jeshi letu litawezeshwa kulinda doria ya uhakika baharini dhidi ya tishio lolote la retaliation ya Alshababi na jeshi la Kenya litawezeshwa na kupewa baraka zote kuivamia Somalia kuwafyeka Alshababi!. Alshababi wata kwisha, Somalia ita settle na Waingereza watajitwalia mafuta yao kufidia gharama zao zote walizoingia!.

:shock::shock:
 
  • Thanks
Reactions: Taz
:shock::shock:
Mbona unashangaa Mkuu? Huyu ndie Pasco!
Kuna siku alianzisha thread ya kusema stripping clubs ni alama ya maendeleo
Sababu nchi itajengwa kwa kodi watakayo lipa stippers.
Na akasisitiza kua yeye ni mataalam wa maendeleo (graduated with an A)
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mbona unashangaa Mkuu? Huyu ndie Pasco!
Kuna siku alianzisha thread ya kusema stripping clubs ni alama ya maendeleo
Sababu nchi itajengwa kwa kodi watakayo lipa stippers.
Na akasisitiza kua yeye ni mataalam wa maendeleo (graduated with an A)

Pia anadai ni graduate wa sheria. Kama mwanasheria anadhani hiyo ndio njia ya kuboresha mahakama na magereza, then labda ndio maana Mtikila alitaka kuajiri wanasheria wa Kinaigeria kwenye kesi zake.
 
mafuta yashapatikana somalia so vita itaisha soon maana BP wataazna kuyachimba na watahitaji utulivu ili miundo mbinu isishambuliwe
 
Kwake yeye the ends justify the means, even if there is a possibility of less costly means and better ends.
Pia anadai ni graduate wa sheria. Kama mwanasheria anadhani hiyo ndio njia ya kuboresha mahakama na magereza, then labda ndio maana Mtikila alitaka kuajiri wanasheria wa Kinaigeria kwenye kesi zake.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom