QALLI MIZOH
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 2,075
- 700
President Elect wewe ndio umerithishwa kazi ya sheikh Yahya? .
Last edited by a moderator:
una pepo wewe si bure
wakati mwingine CCM wawe makini na 'tatu bora' zao lisije wakuta balaa wakabaki kulaumiana tu!
WATU WENGINE KWELI TEMPORAL INSANITY.HOW CAN YOU BUILD YOUR COUNTRY WITH SUCH STUPIDITY IDEA?NOTHING WILL HAPPEN TO HIM NOR TO ANY CANDIDATE IN ONE our country.God forbidden.
President Elect wewe ndio umerithishwa kazi ya sheikh Yahya? .
Kwa kifo hata huyo namba 2 anaweza akaanza... habari ya kifo achana nayo..
Ni kweli, rejea sakata la Captain Komba na Mzee Warioba!!!
Ni kweli, rejea sakata la Captain Komba na Mzee Warioba!!!
Wewe Vick.?
Mkuu President Elect, kwanza acha kuwa 'a prophets of the doom' kwa kuwazia mabaya!. Maneno huumba, ila pia dua la kuku halimpati mwewe!.
Jee umeelezwa kuwa likitokea la kutokea mshindi wa pili ndio anakuwa mgombea wa CCM automatically?!.
Kumbe hujui the deal ilikuwa ni "the chosen one" asindikizwe na maboya mawili!, mwanzo the plan ilikuwa asindikizwe na Pinda na Bilal, "Wazee wa CCM" wakashauri sio vema kuwadhihaki waheshimiwa hawa kwa kuwafanya ndio escort!, ndipo ikaamuliwa escort wawe weak candidates mind well jina la Magufuli halikuwa chaguo la JK!, bali ilibidi tuu liingizwe kwa sababu fulani, kaisome HAPA !, na kuimalizia HAPA!.
Ni kufuatia sababu hiyo!, nothing can happen to Magufuli!, hakuna lolote la kutokea kwa Magufuli hata kama that is what you wish for!. Pole!.
Magufuli ndie rais wa 5 wa Tanzania!.
Pasco
Ningekuwa na uwezo ninge epusha hayo yote uliyoyataja,ila kwakuwa sina uwezo huo basi wacha tutawaliwe na huyo mwanamke amina
Mkuu Deo, nenda kasome HAPA !, The chosen one was Bernard Membe, na fall out was January Makamba, but piga ua galagaza, it had to be JPM!.Binafsi siamini habari ya ""chosen one"" hiyo kama ilipangwa ilasha abort failed attempt.
Naomba ni jibu, kwa nini kura hazikuhesabiwa usiku ule?
1. Kwa nini wajumbe walalale kwanza? Kama unavyojua chama chetu uchakachuaji ni jadi hata kama ni kumkana mama yako kwao sawa. Jaribu kuanalise matokeo, je unayaamini?
2. Je nini role ya ze mkapa? Je huyu ana influence yoyote?
Kwangu mimi tukalale kwanza ni kupumbaza na kuchakachua, matokeo yale hata mtoto wa darasa la saba kama mimi sintaweza kubali. Uchakuzi wa Magufuli ni compromise aliyo mastermind Mkapa. Na yeye amehadi kuwalinda
3. Je huamini kuwa
Wazo lako kama hilo assume Lipumba, Slaa na Mbowe wapate ajali na kurest in peace. Hao watatu tu. Unadhani ukawa na chadema vitakuwepo tena???