President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Je CCM wanajua kwamba lolote linaweza kutokea kabla ya uchaguzi mkuu tarehe 25/10/2015?
Mwenyezi Mungu aepushie mbali, ila ikitokea mathalani mgombea urais wao akapatwa na janga kama ajali, maradhi au kufariki dunia kabla au wakati wa kampeni basi atakayechukua nafasi yake si mwingine bali aliyekuwa mshindi wa pili katika tatu bora, balozi Amina!
Tufikiri nje ya box, je CCM itashinda uchaguzi ikiwa imebanwa kwenye kona katika hali kama hiyo? Bila kusahau Tume ya Taifa ya Uchaguzi nayo italazimika kuahirisha uchaguzi mkuu hadi mapema mwakani!
Mungu atupe uzima, na atuepushie mbali balaa zote kwa wagombea wa urais kutoka vyama vyote hasa CCM, wote tuseme Aminaaaaa!!!!!
Mwenyezi Mungu aepushie mbali, ila ikitokea mathalani mgombea urais wao akapatwa na janga kama ajali, maradhi au kufariki dunia kabla au wakati wa kampeni basi atakayechukua nafasi yake si mwingine bali aliyekuwa mshindi wa pili katika tatu bora, balozi Amina!
Tufikiri nje ya box, je CCM itashinda uchaguzi ikiwa imebanwa kwenye kona katika hali kama hiyo? Bila kusahau Tume ya Taifa ya Uchaguzi nayo italazimika kuahirisha uchaguzi mkuu hadi mapema mwakani!
Mungu atupe uzima, na atuepushie mbali balaa zote kwa wagombea wa urais kutoka vyama vyote hasa CCM, wote tuseme Aminaaaaa!!!!!