Lolipop to marshmallow

Lolipop to marshmallow

Moo Click

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
3,495
Reaction score
3,254
Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz



Nawasilisha.
 
Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz



Nawasilisha.
Unatakiwa uweke hapa model ya simu...
Sio kila firmware inaingia kwenye simu yeyote
 
Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz



Nawasilisha.
Maelezo hayajitoshelezi. Hujasema ni aina gani/model ipi ya simu? (Tecno)
 
Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz



Nawasilisha.
Ingekuwa ni samsung it could be so easier and so fast within fww minutes, kwa Techno sifaham kwakweli...sijawahi fuatilia..
 
Ingekuwa ni samsung it could be so easier and so fast within fww minutes, kwa Techno sifaham kwakweli...sijawahi fuatilia..
Mkuu mimi samsung nataka niupgrade pls nielekeze model SM-G925F
 
Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz



Nawasilisha.
Unatumia Tecno gani???
 
Ni vyema ujue marshmallow ina kitu gani cha ziada chenye faida kwako,au ni ushabiki tuu!
 
Oya oyaaa nmepata solution imekubali simu ni Tecno C8 na Jana nmeupgrade tayr na simu iko vizur kupita maelezo..
 
1474450433498.png
1474450460404.png
 
Back
Top Bottom