Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Mkuu RedDevil,
Ni kweli inasikitisha inapotokea serikali ikawasahau raia wake na kukumbatia wageni kwa kivuli cha uwekezaji. Ingawa vita uenda isiwe suluhisho sahihi la hali iliyojitokeza, ningeshauri mwana JF yeyote aliye na data kamili kuhusu hii kampuni atumwagie hapa ili tuweze kutoa informed and meaningful contributions towards the topic. Kwa jinsi ilivyo hapo juu, bado mengi hayajawekwa wazi kuhusu hiyo kampuni na maktaba wake wa uwekezaji na serikali.
Ningeshauri yafuatayo yawekwe wazi kwanza,
1. Kampuni lisajiliwa lini Tanzania
2. Nini shughuli halali za kampuni hii
3. Ni nani share holders wa hiyo kampuni
4. Je mkataba wa uwekezaji wa hii kampuni unaweza kupatikana na kuwekwa hapa?
Tukiishapata hizo data, then tutakuwa kwenye nafasi nzuri kuchangia hii hoja. Ni kwa mtizamo wangu tu!!!!!
Tiba
Ni kweli inasikitisha inapotokea serikali ikawasahau raia wake na kukumbatia wageni kwa kivuli cha uwekezaji. Ingawa vita uenda isiwe suluhisho sahihi la hali iliyojitokeza, ningeshauri mwana JF yeyote aliye na data kamili kuhusu hii kampuni atumwagie hapa ili tuweze kutoa informed and meaningful contributions towards the topic. Kwa jinsi ilivyo hapo juu, bado mengi hayajawekwa wazi kuhusu hiyo kampuni na maktaba wake wa uwekezaji na serikali.
Ningeshauri yafuatayo yawekwe wazi kwanza,
1. Kampuni lisajiliwa lini Tanzania
2. Nini shughuli halali za kampuni hii
3. Ni nani share holders wa hiyo kampuni
4. Je mkataba wa uwekezaji wa hii kampuni unaweza kupatikana na kuwekwa hapa?
Tukiishapata hizo data, then tutakuwa kwenye nafasi nzuri kuchangia hii hoja. Ni kwa mtizamo wangu tu!!!!!
Tiba