Loliondo: Kama ni Lowassa tumeliwa!

Loliondo: Kama ni Lowassa tumeliwa!

Arafat

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2009
Posts
2,581
Reaction score
763
Kama ikiwa huyo Mzee wa Umasaaini huko Lolindo ni Mganga wa EL na kuwa kila atakaye kunywa hayo maji yake 2015 huta mwambia lolote juu ya EL, basi tumeliwa tena tuhesabu 2025.

Napata mashaka makubwa juu ya taarifa zake, napata shida kwanini wizara ya afya haitoi tamko lolote. Kwanini wizara ya afya wasipereke wataalam wao na wagonjwa ili kupata sample za wagonjwa waliopona kwa ajili ya kutoa taarifa elekezi? kwanini serikali imelala!

Niliwai kusoma kitabu cha Prof.Gabriel Ruhumbuka; Janga kuu la Wazawa, ambaye hajakisoma akitafute, ni riwaya ilitumika sana katika Vyuo vikuu mbali mbali Amerika na nadhani pia ni miongoni mwa vitabu teule Tanzania. Mambo yote yanayofanyika hapa Tanzania mengi yake Ruhumbuka alikwisha yaona katika riwaya. mtunzi anaongelea Ushirikina na madhara yake akitumia Tanzania kama jukwaa la kufikisha ujumbe, utakuta mauhaji kwa imani za kishirikina kama yale ya Albino yalikwisha andikwa na huyu mwana falsafa wa kitanzania, alikuwa UDSM 1970 hadi 1985 kabla ya kuamia USA.

Siyo kwamba napinga kuwa huyo mzee hana dawa, hapana na uliza kwanini serikali haitoi tamko elekezi kutoka wizara husika ya Afya? ilitujue watu wetu wanaomiminika huko Loliondo kupewa maji wapo salama!

Hili swala linavyotolewa maelezo si la kiimani tena, maana ukisha kuvuka kuponyesha kwa maombi ukaanza kutoa dozi iwe ya maji au vidonge tayari hiyo siyo Kuponyesha kwa imani ni kuponyesha kwa tiba asilia, kwa kweli hapo siyo imani peke yake.

Hisije ikawa kama 2005; Kama dawa inatibu lazima itaonyesha katika vipimo vya kitaalam na kama haionyeshi maana yake haitibu huo ndio ukweli. hizi dini sasa zinaweza kutupereka katika uchawi nasi tukatumbukia bila kujua, Mwaka 2005 Askofu wa Katoliki ndie aliyekuwa wa Kwanza kutangaza kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu, leo hii imedhiirika ni kazi ya Uchawi na Majini, watanzania kama tumelala hivi mbona tuta-tawaliwa hadi 2105!.

Kumbukeni ya Kibwetele na ya Makanisa yalioibuka kama uyoga na baade kushiriki biashara ya unga hasa mikoa ya Mbeya, Iringa na Dar es Salaam.
 
Serkali nayo imekata tamaa kama wananchi wake ndiyo jibu!!:rain:
 
Serkali nayo imekata tamaa kama wananchi wake ndiyo jibu!!:rain:

Kama wamekata tamaa kwanini wasiondoke badala ya kuacha mambo yanafanyika kichwa chini miguu juu kiasi hiki
 
Tanzania kama nchi iko ICU ikitoka huko ndio tutaongea vizuri.
 
kama ingekua ni mipango ya lowassa isingekuja kidizain hii.maana inawalenga wagonjwa tu.
kweli ruhumbuka alisema mengi ila hili la loliondo wala halijatabiliwa na mwanafalsafa. ni nyakati tu kama zilivyokua za nuhu,luthu na hata kipindi cha farao.
 
nashindwa kujizuia. Tatizo la serikali yetu ni kutokuwa wabunifu na kuenzi innovations za watu wao. Hapo walitakiwa kutuma jopo la madakitari kuchukuwa sample za dawa, na kutest wagonjwa wanaopewa dawa before na baada ya matubabu ili kujiridhisha scientifically hali ikoje. na kama ni ugunduzi then, kuweza kuu-advance zaidi na mzee mgunduzi kulinda hati milki yake kwa faida ya mgundunzi na nchi. Mwaka mmoja Iringa mtu aligundua namna ya kuzalisha umeme kijijini badala ya tanesco kujifunza, wakamshitaki kuwa anataka kuua watu. Kigoma kijiji cha mgombe na Nyachenda (kasulu) kulikuwa na wazee waliokuwa wanatengeneza bunduki aina mbalimbali za kusasa (siyo magobole); wakamatwa kuwa wataeneza majambazi. Hivyo, bado umuhimu wa kuendeleza local innovations hakuna tanzania, tunaamni katika importations. Lakini localization of innovations na defusion of external inovations ndo imeinyanyua china kiuchumi hadi kuwa hivi ilivyo-ya pili duniani.
 
kama ingekua ni mipango ya lowassa isingekuja kidizain hii.maana inawalenga wagonjwa tu.
kweli ruhumbuka alisema mengi ila hili la loliondo wala halijatabiliwa na mwanafalsafa. ni nyakati tu kama zilivyokua za nuhu,luthu na hata kipindi cha farao.

Kumbuka kuwa wanasema huyo mzee anatoa dawa siyo maombi peke yake, ikishakuwa swala la dawa lazima wafuatilie na kutoa Tamko. Nchni kwetu antibiotics zimejaa kila kona watu wanameza hovyo, ebu nenda hata London tafuta prescription ya antibiotics kama utapata? Mpaka Daktari akupime na aridhike sawasawa ndiyo utapewa hiyo dawa.

Tamko ni muhimu sana ili tuepushe kutokea mambo ya Ushirikina hapa.
 
Mkuu Umenena vyema. Tatizo ni kwamba Serikali yetu imekaa kishabiki shabiki kwenye kila jambo. Usishangae ukienda Ofisini kwa Waziri husika ukaambiwa kuwa naye amefuata dawa Loliondo. Isitoshe nimesikia kuwa kuna hata wakubwa wa Serikali wanaenda huko. Nao wanafuata dawa eti!! Binafsi nimekuwa najiuliza swali kama lako, kwa nini Serikali, kupitia wizara ya AFya isifuatilie na kisha kuweka utaratibu mzuri wa watu kupata hiyo huduma na wakati huo huo kufanya mpango wa kuepusha tabu wanazozipata wagonjwa wanaoenda Loliondo? Manake kwa jinsi nilivyouona msururu unaoelekea kule ni dhairi kuwa kunakuwepo na scrambling kubwa sana ili kuweza "Kupata dawa".

Kwa mfano, kama wangeweza kufuatilia na kufanya uchunguzi kama ulivyoshauri, wakiridhishwa na matokeo yake wanaweza kumleta huyo mganga Arusha mjini na akajengewa mazingira ya kufanya kazi kwa ufanisi zaidi na akihitaji kuzifuata dawa zake basi anapewa usafiri maalum kwenda Porini na kurudi Arusha ambako ingewawia rahisi na salama "wateja" wake kumpata.

Anyway, Serikali yetu ina mapungufu mengi sana yanayochangiwa na uzembe,, hii ni sehemu ndogo tu ya mapungufu yao....
 
Nadhani yule babu akihama kule Loliondo basi ile dawa haitafanya kazi. Kuhusu kuifanyia uchunguzi, wanasema hiyo dawa ukiondoka nayo mbali ya maeneo yake inakuwa haifanyi kazi inayotakiwa.
 
Kuna jamaa zangu walienda huko mmoja alikuwa vidonda vya tumbo baada ya kunywa hiyo dawa ndani ya nusu saa akawa amepona pia kuna mwingine mguu na Nkomo vilikufa ganzi akiwa njiani kutoka huko alishangaa mkona ukaanza kupona kesho yake mguu na mkono vikapona mwingine alipeleka watu yeye ni dereva wa tours aliamua kunywa alishangaa alikuwa anavaa miwani akawa haoni vizuri Alivua anaona ameacha kabisa kivas miwani hao nimeona kwa macho yangu.
 
Kama ikiwa huyo Mzee wa Umasaaini huko Lolindo ni Mganga wa EL na kuwa kila atakaye kunywa hayo maji yake 2015 huta mwambia lolote juu ya EL, basi tumeliwa tena tuhesabu 2025.

Napata mashaka makubwa juu ya taarifa zake, napata shida kwanini wizara ya afya haitoi tamko lolote. Kwanini wizara ya afya wasipereke wataalam wao na wagonjwa ili kupata sample za wagonjwa waliopona kwa ajili ya kutoa taarifa elekezi? kwanini serikali imelala!

Niliwai kusoma kitabu cha Prof.Gabriel Ruhumbuka; Janga kuu la Wazawa, ambaye hajakisoma akitafute, ni riwaya ilitumika sana katika Vyuo vikuu mbali mbali Amerika na nadhani pia ni miongoni mwa vitabu teule Tanzania. Mambo yote yanayofanyika hapa Tanzania mengi yake Ruhumbuka alikwisha yaona katika riwaya. mtunzi anaongelea Ushirikina na madhara yake akitumia Tanzania kama jukwaa la kufikisha ujumbe, utakuta mauhaji kwa imani za kishirikina kama yale ya Albino yalikwisha andikwa na huyu mwana falsafa wa kitanzania, alikuwa UDSM 1970 hadi 1985 kabla ya kuamia USA.

Siyo kwamba napinga kuwa huyo mzee hana dawa, hapana na uliza kwanini serikali haitoi tamko elekezi kutoka wizara husika ya Afya? ilitujue watu wetu wanaomiminika huko Loliondo kupewa maji wapo salama!

Hili swala linavyotolewa maelezo si la kiimani tena, maana ukisha kuvuka kuponyesha kwa maombi ukaanza kutoa dozi iwe ya maji au vidonge tayari hiyo siyo Kuponyesha kwa imani ni kuponyesha kwa tiba asilia, kwa kweli hapo siyo imani peke yake.

Hisije ikawa kama 1995 kila aliyewai kupita na basi Chalinze hata kama alikuwa mwanao na Mkeo hawakuwa wanashikika wakisikia jina la Kikwete; ulikuwa ukiwahoji Uwezo wa Kikwete wanataka kukupiga, mimi nilikuwa nampinga kidogo nipigwe risasi na rafiki wa karibu sana. Baadaye yalioyoongelewa Mungu ndio anajua, leo hadi wakina Yahya wanatangaza agharani kuwa wanamlinda raisi kwa ushirikina, leo Ikulu imejaa waganga kutoka Tanga na matunguli, UWT haipangi ulinzi wa Rais tena, inapangwa na Waganga na wachawi.

Kumbukeni ya Kibwetele na ya Makanisa yalioibuka kama uyoga na baade kushiriki biashara ya unga hasa mikoa ya Mbeya, Iringa na Dar es Salaam.

The best CRAP 2011 from the Best CRAPER 2011!
 
Handsome2.jpg


Vipi na wanaochekacheka kama huyu wanatibiwa? Maana anachekacheka kama leader flani hapa nchini. Loh!!
 
Viongozi wa Serikali hawawezi kuchukua hatua ya kuichunguza dawa hii kwa sababu wengi wametumia. Pia dawa hii ukitoka nayo nje ya eneo la babu inageuka kuwa maji ya kawaida na ukiiba inageuka kuwasumu, ukijihudumia mwenyewe inakuwa maji ya kawaida.
Miujiza haiwezi kufanyiwa utafiti wa kimaabara. Siku babu atapokosea masharti ya dawa hii basi ndiyo itakuwa mwisho wa tiba. hata akifa basi na tiba hii itakuwa mwisho wake. Nabii Mussa alipiga bahari na fimbo maji yakaachia njia, alipiga mwamba maji yakatoka. uwezo huu alipewa yeye peke yake na mungu kwa wakati ule.
 
Kaka raisi ameenda huko na mawaziri wake wewe unategemea nini???
 
Hoja ni EL, huyo mchungaji au uraisi 2015 ?

Naomba nikueleze huyu EL ni wa pale monduli,nje kidogo tu ya arusha town! Ni umbali wa km 350 mpaka loliondo;kwaio kwangu sioni uhusiano wa huyu mchungaji na EL.

Kwa wale wanaoamini,hili jambo la huyu mtu kuponya ni kweli kabisa. Sioni sababu ya serkali kuzuia watu kuponywa? Labda kama wewe mwenye hoja ni kakobe ambae kanisa lake waumini wamepungua baada ya wengi kumiminika huko loliondo!

Kama unaamini mashetani,nakupa pole na ushindwe.
 
Mkuu Umenena vyema. Tatizo ni kwamba Serikali yetu imekaa kishabiki shabiki kwenye kila jambo. Usishangae ukienda Ofisini kwa Waziri husika ukaambiwa kuwa naye amefuata dawa Loliondo. Isitoshe nimesikia kuwa kuna hata wakubwa wa Serikali wanaenda huko. Nao wanafuata dawa eti!! Binafsi nimekuwa najiuliza swali kama lako, kwa nini Serikali, kupitia wizara ya AFya isifuatilie na kisha kuweka utaratibu mzuri wa watu kupata hiyo huduma na wakati huo huo kufanya mpango wa kuepusha tabu wanazozipata wagonjwa wanaoenda Loliondo? Manake kwa jinsi nilivyouona msururu unaoelekea kule ni dhairi kuwa kunakuwepo na scrambling kubwa sana ili kuweza "Kupata dawa".

Kwa mfano, kama wangeweza kufuatilia na kufanya uchunguzi kama ulivyoshauri, wakiridhishwa na matokeo yake wanaweza kumleta huyo mganga Arusha mjini na akajengewa mazingira ya kufanya kazi kwa ufanisi zaidi na akihitaji kuzifuata dawa zake basi anapewa usafiri maalum kwenda Porini na kurudi Arusha ambako ingewawia rahisi na salama "wateja" wake kumpata.

Anyway, Serikali yetu ina mapungufu mengi sana yanayochangiwa na uzembe,, hii ni sehemu ndogo tu ya mapungufu yao....

Nashukuru sana Mkuu kama nawe umeona tatizo maana nilidhani nipo peke yangu!! Je umemsikia hata mmoja katika nafsi yake? wote wana toa taarifa ni wale walioona aliye pona kabisa sijamsikia hata mmoja kujitokeza kutujuza tunaomba pia ajitokeze basi
 
Kama ikiwa huyo Mzee wa Umasaaini huko Lolindo ni Mganga wa EL na kuwa kila atakaye kunywa hayo maji yake 2015 huta mwambia lolote juu ya EL, basi tumeliwa tena tuhesabu 2025.

Napata mashaka makubwa juu ya taarifa zake, napata shida kwanini wizara ya afya haitoi tamko lolote. Kwanini wizara ya afya wasipereke wataalam wao na wagonjwa ili kupata sample za wagonjwa waliopona kwa ajili ya kutoa taarifa elekezi? kwanini serikali imelala!

Niliwai kusoma kitabu cha Prof.Gabriel Ruhumbuka; Janga kuu la Wazawa, ambaye hajakisoma akitafute, ni riwaya ilitumika sana katika Vyuo vikuu mbali mbali Amerika na nadhani pia ni miongoni mwa vitabu teule Tanzania. Mambo yote yanayofanyika hapa Tanzania mengi yake Ruhumbuka alikwisha yaona katika riwaya. mtunzi anaongelea Ushirikina na madhara yake akitumia Tanzania kama jukwaa la kufikisha ujumbe, utakuta mauhaji kwa imani za kishirikina kama yale ya Albino yalikwisha andikwa na huyu mwana falsafa wa kitanzania, alikuwa UDSM 1970 hadi 1985 kabla ya kuamia USA.

Siyo kwamba napinga kuwa huyo mzee hana dawa, hapana na uliza kwanini serikali haitoi tamko elekezi kutoka wizara husika ya Afya? ilitujue watu wetu wanaomiminika huko Loliondo kupewa maji wapo salama!

Hili swala linavyotolewa maelezo si la kiimani tena, maana ukisha kuvuka kuponyesha kwa maombi ukaanza kutoa dozi iwe ya maji au vidonge tayari hiyo siyo Kuponyesha kwa imani ni kuponyesha kwa tiba asilia, kwa kweli hapo siyo imani peke yake.

Hisije ikawa kama 1995 kila aliyewai kupita na basi Chalinze hata kama alikuwa mwanao na Mkeo hawakuwa wanashikika wakisikia jina la Kikwete; ulikuwa ukiwahoji Uwezo wa Kikwete wanataka kukupiga, mimi nilikuwa nampinga kidogo nipigwe risasi na rafiki wa karibu sana. Baadaye yalioyoongelewa Mungu ndio anajua, leo hadi wakina Yahya wanatangaza agharani kuwa wanamlinda raisi kwa ushirikina, leo Ikulu imejaa waganga kutoka Tanga na matunguli, UWT haipangi ulinzi wa Rais tena, inapangwa na Waganga na wachawi.

Kumbukeni ya Kibwetele na ya Makanisa yalioibuka kama uyoga na baade kushiriki biashara ya unga hasa mikoa ya Mbeya, Iringa na Dar es Salaam.


Tusiwe na hofu kiasi hiki cha kuogopa kila kitu kwa kuhisi ni mbinu ya mafisadi kwani itafika mahali tutaogopa hata kula hotelini au kupanda mabasi tukihisi ni ya akina EL na RA
 
Back
Top Bottom