Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,941
Kwa kweli baadhi ya wanawake mmetushinda tabia mwanaume afanye mapenzi kwa ratiba utakuta mwatusema eti huenda anachepuka au halijui mapenzi na akifuata jinsi mwili unatakavyo mpeleka hauchelewi kusema kuwa amezidi. Furaha ya ndoa ni mapenzi pamoja na kupata watoto hiyo ndiyo maana ya kuoa au kuolewa.