...lazima ana kadi ya ccm,mkampekue nyumbani kwake...
Anaitwa Bilionea nani huyo?
Ndivyo nilivyomkuta huyo Ndugu leo asubuhi na mapema mtaa wa Sakina huku Arusha mjini post na Sakina Bar kwa juu kidogo tu akidaiwa kuangushwa angani na Wanamaombi wanaokesha kumlilia Mwenyenzi MUNGU usiku katika Kanisa moja mtaa huo.
...mkuu wala sio saisa bali ni life style yake inaelezea wasifu wake...Adi uku mnafika? Zitaanza vurugu za siasa mda c mrefu ndani ya sredi... Izi moja moja tuachieni tupumue
Kapendeza sana na vazi lake la Adam na Eva
Ndivyo nilivyomkuta huyo Ndugu leo asubuhi na mapema mtaa wa Sakina huku Arusha mjini post na Sakina Bar kwa juu kidogo tu akidaiwa kuangushwa angani na Wanamaombi wanaokesha kumlilia Mwenyenzi MUNGU usiku katika Kanisa moja mtaa huo.
Wanga wengi
Anajua kujisitiri picha zote dushelele halijaonekana
kwani wakipaa wamevaa nguo hawafiki
Nimekosa hata cha kusema!