Hizo sio Lodge au guest House ni madanguroFeni pia hakuna
Afadhali hata zisiwepo, net nyingi ni chafu Sana na zina vumbi balaa, Mimi huwa situmiagi net zao Kabisa, heri nipulizie dawaUlivyowauliza kwanini walijibu nini ?
Amelala kwa mhaya Hadi akahisi lodgeHizo sio Lodge au guest House ni madanguro
Licha ya serikali kupiga kampeni kila siku juu ya mpango wa kutokomeza malaria. Nimeshangazwa na haya mazoea ya Hotel na Lodge nyingi za Dar es Salaam kutofungwa net za mmbu kwenye vitanda vyao.
Labda, lengo za hotel/Lodge hizo ni kuhudumia wateja wa short time lakini anapokuja mgeni anayehitaji kulala anaumwa na mbu usiku kucha jambo ambalo linakuwa kero na linaweza sababisha kupata magojwa yanayosambazwa na mbu.
Sijui ni mamlaka gani zinahusika na kufanya ukaguzi na uthibiti wa hizi nyumba za kulala wageni.
Binafsi nashauri nyumba hizo zifunge net za mbu ili hiwe takwa la mteja kutumia au kutotumia.
huwa ni maalumu kwa matumizi ya mchana tu, na au kama ni usiku basi ni mapumziko ya bila usingizi wa fofofo ya masaa ma2 au ma3 mnasepa.....Licha ya serikali kupiga kampeni kila siku juu ya mpango wa kutokomeza malaria. Nimeshangazwa na haya mazoea ya Hotel na Lodge nyingi za Dar es Salaam kutofungwa net za mmbu kwenye vitanda vyao.
Labda, lengo za hotel/Lodge hizo ni kuhudumia wateja wa short time lakini anapokuja mgeni anayehitaji kulala anaumwa na mbu usiku kucha jambo ambalo linakuwa kero na linaweza sababisha kupata magojwa yanayosambazwa na mbu.
Sijui ni mamlaka gani zinahusika na kufanya ukaguzi na uthibiti wa hizi nyumba za kulala wageni.
Binafsi nashauri nyumba hizo zifunge net za mbu ili hiwe takwa la mteja kutumia au kutotumia.
Lodge za Dar es Salaam hazijalenga wageni toka mikoani ambao wanalala siku nzima. Zile ni za wazinzi tu au "short time", ndiyo maana hawaweki neti.Licha ya serikali kupiga kampeni kila siku juu ya mpango wa kutokomeza malaria. Nimeshangazwa na haya mazoea ya Hotel na Lodge nyingi za Dar es Salaam kutofungwa net za mmbu kwenye vitanda vyao.
Labda, lengo za hotel/Lodge hizo ni kuhudumia wateja wa short time lakini anapokuja mgeni anayehitaji kulala anaumwa na mbu usiku kucha jambo ambalo linakuwa kero na linaweza sababisha kupata magojwa yanayosambazwa na mbu.
Sijui ni mamlaka gani zinahusika na kufanya ukaguzi na uthibiti wa hizi nyumba za kulala wageni.
Binafsi nashauri nyumba hizo zifunge net za mbu ili hiwe takwa la mteja kutumia au kutotumia.
Lodge nzuri hazina Mbu hata kama hazina net.Licha ya serikali kupiga kampeni kila siku juu ya mpango wa kutokomeza malaria. Nimeshangazwa na haya mazoea ya Hotel na Lodge nyingi za Dar es Salaam kutofungwa net za mmbu kwenye vitanda vyao.
Labda, lengo za hotel/Lodge hizo ni kuhudumia wateja wa short time lakini anapokuja mgeni anayehitaji kulala anaumwa na mbu usiku kucha jambo ambalo linakuwa kero na linaweza sababisha kupata magojwa yanayosambazwa na mbu.
Sijui ni mamlaka gani zinahusika na kufanya ukaguzi na uthibiti wa hizi nyumba za kulala wageni.
Binafsi nashauri nyumba hizo zifunge net za mbu ili hiwe takwa la mteja kutumia au kutotumia.
Kwa Mhaya ndio wapi huko mkuu? maana siye wengine tuko huku Moshi.Amelala kwa mhaya Hadi akahisi lodge