Lodge kali Songea Mjini

Lakini kuna vitu una miss kutoka Dar amvavyo Mikoani hakuna kwa mfano sehemu za kutembea tembea maana mikoani sehemu za kutembea ni umbali mchache yani mnakua kama mmefungiwa kwe uzio fulani.
 
Natafuta sehemu ya kwenda kutembea december hii ila naona kama Songea ni mbali sana.

Usafiri kutoka Dar hadi huko ukoje? Gharama za malazi na chakula je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…