Lodge gani nzuri maeneo ya Busweru/National Mwanza

frami42

Member
May 17, 2018
27
24
Habari wandugu,

Wiki ijayo natarajia kusafiri kwenda Mwanza. Nitakuwa na kazi maeneo ya Halmashauri ya Ilemela, hivyo nataka nijibane angalau nipate lodge nzuri kwa gharama isiyozidi 30,000 kwa siku maeneo ya Busweru au jirani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kulala Lodge una mwanamke?? Kama huna nafuu ulale stand na wasafiri uokoe hiyo elfu 30.

Ni mwiko kulala Lodge peke yako. Unapoteza pesa
 
Ziko nzuri kama tatu hapa Busweru. hazibon, Nolin na nyingine sikumbuki jina lakini ziko vizuri na bei zao ni sh 15000 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…