Mtalebani Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 12, 2020
- 547
- 620
Wakuu habari!
Kama mnavyoiona hali ya Hewa hii, naomba nifahamishwe lodge au Hotel yoyote nzuri Dar ila iwe imejificha ficha kidogo.
Iwe maeneo ya Dar tu.
Budget yangu 50,000 to 70,000.
Kama mnavyoiona hali ya Hewa hii, naomba nifahamishwe lodge au Hotel yoyote nzuri Dar ila iwe imejificha ficha kidogo.
Iwe maeneo ya Dar tu.
Budget yangu 50,000 to 70,000.