QUOTE="Heaven on Earth, post: 18859880, member: 132738"]mwambie atumie yai na parachichi iko poa kichizi... anaweza changanya na kahawa asilia na asali pia hii nimeambiwa leo[/QUOTE]
Ni kweli kabisa, yai la kienyeji, asali mbichi, parachichi na tangawizi changanya vyote pamoja. Yaani mimi ndo naenda fanya sasa hivi. Hata kahawa asili nilishashuhudia mtu wangu wa karibu akifanyia.