Local detectives in US hunt for Ballali

Pia nasikia kuna habari zimetangazwa leo asubuhi huko Bongo..Je kuna mwenye taarifa kuwa walikuwa wakizungumzia nini hasa?
Maana ni wazi kuwa wako aware na resolve yetu!
 
Maana tukishakusanya signatures hapa tusije kuitwa wahaini kwasababu tumewapa muda ila wao wanaendelea na politics as usuall!
 
Tukisha anza petition tusije kulaumiana wanatakiwa wajue hilo!
Muda wa kufanya something for justice wanao!
Ila ni mfupi mno!
Na ni nini tutakachokifanya kama hawaonyeshi hivyo wanakijua!
Tunaipenda nchi yetu...Tunawapenda wananchi wetu!
Tunawaomba viongozi wetu wazingatie hilo!
 
mbona hadi sasa serikali haijawaomba Marekani wawasaidie?

Huoni hii ni spin tu.
Wanatoa kila siku news mpya halafu wanajichanganya.....sisi tunabakia wengine kusifia serikali kuwa inafanya jambo na wengine wenye uwezo wa kusoma between the lines wanabakia wanapiga makelele ndani ya shimo.....siku zinaenda.

Mkulu sasa hivi yuko busy anajitayarisha na kuweka sawa mtandao wa next election.

Hakuna linamsombua hebu tutizame hawa viongozi wa huko majuu mara wanapopata kiti ghafla wanaanza kuchakaa nyuso zao, mwangalie JK tangu achukue u rais anazidi kung'ara....maanake hana limsumbualo.

Hakuna nchi raha na rahisi kutawala kama Tanzania.
 
Ubalozi nao wanasema hawajui Balali alipo!
Wanajidai hata hawajui haya masuala na hata hawana habari na uwepo wa watu kutoka serikalini wanapokuja huku USA!..kuwa eti malalamiko yetu ni nini na sasa wanataka tuandike barua!
Mimi nimeshindwa kabisa kuendelea na conversation ya namna hiyo na nimewaambia sitakuwa na lawama kwani nimenawa mikono!
 
dada yangu Tina nachukua busara za mzee wangu wa kijijini, "mambo ya ngoswe
muachie ngoswe"
 
Labda shushus hawa walitumwa kwenda kummalizia bwan Balali huko huko majuu ili asirudi kwa vile serikali yetu ilishasema kuwa haikuwa inamhitaji na wala haikumtaka arudi Tanzania tena.
 
Huyu Ballahili ni kama ukoma, akirudi bongo wataungua wengi tu! ili ni changa la macho..
 
Huyu Balali jamani si watuambie yuko wapi ili tukatoe heshima za mwisho?
 
Sasa haya mambo ya kumutukana marehemu yaishe kabisa!
Tuambiwe tu yuko wapi ili tukamupe heshima za mwisho.
 
Hapa sasa kirichobakia ni kumpa tu heshima za mwisho kwetu wananchi!
Kwaukweli nimeshitushwa sana nilipoambiwa hii habari iko huku kwenye inataneti.
Sasa sijui watatangaza saa ngapi
kweli ni masikitiko sana
 
Tumevamiwa!
Mkuu Nguruwe tunaomba uheshimu watu wengine kwasababu naona na wewe una yako kama mnyama hatari!
 
They hunt a dead body, Balali is no more.
 
The puzzle is unsolved, the mystery is yet to be revealed. The time is running against majority of Tanzania. Rostam and his crew counts one punch after another. It's not over until the fat lady go to sleep, we don't have much time to connects all the dots.
 
Samahani,

Kweli tumeshachezewa mazingaombwe!

Tatizo letu tunasahau mapema sana...

Kweli JK asipo fix hizi maneno kabla hajaondoka madarakani,basi nina imani kuna siku atapanda kizimbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…