kweli king hata mi nimesoma kwenye kile kipengele kumbe wameandika "may not" yani sio kwamba hatatoa mkopo ila inawezeka.wangesema "not" kweli.ila tuangalie mkao wa baget wanaweza sikia kilio chetu
kweli king hata mi nimesoma kwenye kile kipengele kumbe wameandika "may not" yani sio kwamba hatatoa mkopo ila inawezeka.wangesema "not" kweli.ila tuangalie mkao wa baget wanaweza sikia kilio chetu
Kweli kabisa,hapa ni kwamba kwenye ranking zao hawa watakuwa wa mwisho kufikiriwa na hii itatokana na maombi ya wale waliopewa upendeleo maalum.
kwa course ambazo ni "non priorty" ni kwamba kunaweza kuwa uwezekano wa kupata , ila kama ahakuna uwezekano kabisa wangesema "no loan at all"