unamoyo mshahara 240000
.http://--------------/index.php?task=136505
get money on line its free jaribun watanzania ni buree
Wewe ushapata kama shilngi ngapi hivi???
naona sijapata jibu mpaka sasa
ndugu yangu hiyo laki 2 na 40 unaoiona ndogo, mwenzako naihitaji sana. Ni bora hiyo kuliko kuendelea kusota mtaani
are u serious na kupata kazia aua unataka unafanyiwa interview baada ya wiki ya siku 3 uanze kazi? be serious, mchakato wa kazi ni mrefu na unachukua si kipindi kisichopungua mwezi mmoja, narudia inachukua kipindi kisichopungua mwezi mmoja,,,tatizo watz tunataka vitu harakaharaka,,,na nyie. ndo mkiajiliwa mnataka leo uneingia kazin baada ya wiki unataka ueneshe gari bila kufikilia kila kitu kizuri kinatakiwa maandalizi ya muda mrefu,,
are u serious na kupata kazia aua unataka unafanyiwa interview baada ya wiki ya siku 3 uanze kazi? be serious, mchakato wa kazi ni mrefu na unachukua si kipindi kisichopungua mwezi mmoja, narudia inachukua kipindi kisichopungua mwezi mmoja,,,tatizo watz tunataka vitu harakaharaka,,,na nyie. ndo mkiajiliwa mnataka leo uneingia kazin baada ya wiki unataka ueneshe gari bila kufikilia kila kitu kizuri kinatakiwa maandalizi ya muda mrefu,,
mwanzo wa kufanya kazi ndio maendeleo ya michongo mingine ya kupata kazi nzuri mpendwa wangu, usikatishwe tamaa.
punguza ujuaji usio na maana.
asante ndugu kwa kunitia moyo. Kipindi cha kutafuta kazi ni moja ya vipindi vigumu zaidi katika maisha.
na watz mkiambiwa ukweli hampendi ila mkidanganywa ndo mnafurahi,,kuna jamaa yangu nimemuuliza yuko pale access bank tawi la lumumba kasema wanatarajia kuwaita waliofaulu jumatatu ya tarehe 10
u will not appriciate what u have until u loose it,,unajua binadamu mnafikilia kazi za mashirika kama haya ni kuzoa watu haraka bila uchambuzi yakinifu,,ndo maana ya interview,unapofanyiwa interview leo cyo ndo umemaliza kila kitu,management lazima ijilidhishe na vitu vingi kabla hawajakuajili,tatizo watz mnapenda short cut,,if u want the shortcut job know that u will be fired shortcut,,,hizi ni kazi za mikataba inayojulikana na cyo kibarua, usitake kumdanganya mwenzako kwamba kuna ajira ya baada ya siku tatu ya usahilo unaajilowa,,think twice,,cha. msingi ww uliyefanya isahili kuwa na subila na kama ulifanya vizuri they will employ u but don't think shortcut
na watz mkiambiwa ukweli hampendi ila mkidanganywa ndo mnafurahi,,kuna jamaa yangu nimemuuliza yuko pale access bank tawi la lumumba kasema wanatarajia kuwaita waliofaulu jumatatu ya tarehe 10
huo ndio msaada, hayo mengine mezea fanta, kama wamefanya interview tar 3/2 na kwa mujibu wako wataitwa tarehe 10/2 huoni unajichanganya na hapo juu uliposema wataanza kuitwa baada ya mwezi? tunashukuru kwa kumsaidia.
eehh ci ndoo mnataka mkidanganywa kama hivyo ndo mnafurahi ila mkiambiwa ukweli macho yabawatoka kama mmeza CD