Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
u will not appriciate what u have until u loose it,,unajua binadamu mnafikilia kazi za mashirika kama haya ni kuzoa watu haraka bila uchambuzi yakinifu,,ndo maana ya interview,unapofanyiwa interview leo cyo ndo umemaliza kila kitu,management lazima ijilidhishe na vitu vingi kabla hawajakuajili,tatizo watz mnapenda short cut,,if u want the shortcut job know that u will be fired shortcut,,,hizi ni kazi za mikataba inayojulikana na cyo kibarua, usitake kumdanganya mwenzako kwamba kuna ajira ya baada ya siku tatu ya usahilo unaajilowa,,think twice,,cha. msingi ww uliyefanya isahili kuwa na subila na kama ulifanya vizuri they will employ u but don't think shortcut
Acha kuongea kwa confidence .. aliyekuambia kazi baada ya siku tatu hakuna ni nani .. Ww kama umechujwa Mara kumi kwnye interview usioone ni kwa kila mtu .. kuna watu wanafanyiwa interview leo kesho wanahitajika kazini tena kwa request .. vichwa havilingani ndugu yangu
USIKARIRI