Loan defaulters mlioajiriwa mmekwisha!!

Loan defaulters mlioajiriwa mmekwisha!!

na wale walikuwa wakipewa mara mbili mbili sijui itakuwaje? yaani jina moja lakini limetolewa kwenye batch mbili tofauti. Nashukuru mi simo, hapana chezea mshahara wangu HELSB
 
Ulivyoongelea kishabiki hapo...wewe lazima utakuwa baadhi ya waliokosa mkopo HESLB wakati huo ukawa private, hela ya kwenda Meeda mpaka ukaombe kwa baba, pole!

Inayolipwa ni tuition fees tu, na sio allowances za vitabu, kujikimu, na/au mafunzo ya vitendo! Na tunalipa hayo madeni, acha wivu! Msiolipa jamani muanze kulipa wadogo zetu nao wasome!

Laiti ungejua usingesema hayo,ina maana watu walikuwa wanatenganisha pesa za kutumia!Nilikula pesa za bodi kwa miaka mitatu pale mlimani!!Tukiongozwa na MR. B TWEVE,tulipambana na F.F.U pale mlimani mwaka 2004 wakati tukipinga mapendekezo ya muswada wa sheria ya HESLB!
 
Huu ndo ubaguzi, na ndio maana SILIPI.Haiwezekani kwa wengine msaada, halafu kwetu ni mkopo!!
Hilo ndio neno hasa kwanini wengine wasomeshwe kwa ruzuku wengine wakopesgwe? Hebu jamani tuwaombe waliobobea kuchanganua sheria waangalie je hiyo sio sheria kandamizi?
 
Mi hadi nihakikishe wamebana njia zote ndo nalipa otherwise imekula kwao hiyo. Mbona walioingia kwenye idara za ulinzi na usalama kama polisi, magereza, jeshi, usalama wa taifa hawalipi? Kwani wao pia hawakukopeshwa? Ala
 
Back
Top Bottom