Loan board wameniambia hakuna tena batch nyingine

Loan board wameniambia hakuna tena batch nyingine

Msiba wa Taifa

Senior Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
128
Reaction score
53
Jamani nmewapigia simu loan board wameniambia hakuna tena majina
Ila 5000 yaliobaki ni kwa wale watakao appeals.
Sasa jamani ntafanyaje??
Sina uwezo wa kujisomesha.
Au walitaka nidanganye mimi yatima nawakati sikweli.!!
Eeeeh Mungu nisaidie nafunga mabegi narud kwetu.
 
Jamani nmewapigia simu loan board wameniambia hakuna tena majina
Ila 5000 yaliobaki ni kwa wale watakao appeals.
Sasa jamani ntafanyaje??
Sina uwezo wa kujisomesha.
Au walitaka nidanganye mimi yatima nawakati sikweli.!!
Eeeeh Mungu nisaidie nafunga mabegi narud kwetu.
Kwenu wapi?
 
Jamani nmewapigia simu loan board wameniambia hakuna tena majina
Ila 5000 yaliobaki ni kwa wale watakao appeals.
Sasa jamani ntafanyaje??
Sina uwezo wa kujisomesha.
Au walitaka nidanganye mimi yatima nawakati sikweli.!!
Eeeeh Mungu nisaidie nafunga mabegi narud kwetu.

Ulichagua hadi Secondary au hadi Chuo kikuu?
 
bana hapo unatakiwa kukomaaa tu,kvp tafuta ufadhili kwenye mabenki watakuelewa tu.ila kama coz yenyewe ina soko
 
"Hakuna mwenye unitaji a.k.a vigezo atakae kosa mkopo". Mara hukuchaguliwa batch 1 kumbe ndio imetoka hiyo hakuna batch nyingine ukiacha the said 5000-halafu wanasema kila mwenye "uhitaji" atapata. Na mwakani gia watabadirisha angani tena?
 
dah hii drama ya mwaka huu imeumiza wengi sana yani
 
Haha. . Yani hawa majamaa wanachekesha. Mkurugenzi wao alisema kuna batch nyingine inatoka
 
Appeal na ww, wasi wasi wako upo wap hapo?

Na kama unataka kwenda home jipange tuh vzur kwasababu chuo watu huwa hawaondokagi ondokagi tuh kizembe
Hii ni kwasababu later utakapotaka kuapply itakuzinguwa kuliko maelezo




Jamani nmewapigia simu loan board wameniambia hakuna tena majina
Ila 5000 yaliobaki ni kwa wale watakao appeals.
Sasa jamani ntafanyaje??
Sina uwezo wa kujisomesha.
Au walitaka nidanganye mimi yatima nawakati sikweli.!!
Eeeeh Mungu nisaidie nafunga mabegi narud kwetu.
 
Wewe mayonene huna akili kazi kuikashifu serikali wakati ndiyo inayokufanya unatukana humu jf
 
Back
Top Bottom