Loan bank na jinsi ambavyo utapata faida kupitia mkopo wa bank

Shadrack K. Lwila

JF-Expert Member
Jul 17, 2016
4,925
14,277
Wakuu habari za saivi,

Rejea mada tajwa hapo juu,

Nimekuwa nikifatilia mkopo wa bank kama mil.30 lakini nashangaa process ni nyingi sana kiasi ambacho imechukua karibia nusu mwezi (wiki mbili hivi) lakini bado mpaka saivi japo nimebakiza vitu kazaa kufanikisha issue nzima.

Niende moja moja kwa moja pointi yangu wakuu wazi kwamba bank walitaka kujua kama account yangu inamzunguko au laa, sasa nachojiuliza ni hiki mkopo wa mil.30 marejesho ya mwaka mzima na wanataka account yangu ndo iwalipe iyo mil.30 kutokana na huo mzunguko wa hiyo account (account transactions) itawalipaje na mimi nitapataje riba katika account yangu.

Pia nilitaka mnishauri wakuu nisijeingizwa mjini nibaki nawafanyia bank kazi wakuu!

Nawasilisha.

Karibuni.
 
Wakuu habari za saivi,

Rejea mada tajwa hapo juu,

Nimekuwa nikifatilia mkopo wa bank kama mil.30 lakini nashangaa process ni nyingi sana kiasi ambacho imechukua karibia nusu mwezi (wiki mbili hivi) lakini bado mpaka saivi japo nimebakiza vitu kazaa kufanikisha issue nzima.

Niende moja moja kwa moja pointi yangu wakuu wazi kwamba bank walitaka kujua kama account yangu inamzunguko au laa, sasa nachojiuliza ni hiki mkopo wa mil.30 marejesho ya mwaka mzima na wanataka account yangu ndo iwalipe iyo mil.30 kutokana na huo mzunguko wa hiyo account (account transactions) itawalipaje na mimi nitapataje riba katika account yangu.

Pia nilitaka mnishauri wakuu nisijeingizwa mjini nibaki nawafanyia bank kazi wakuu!

Nawasilisha.

Karibuni.
We jamaa ukipata hiyo m30 usijeishia kula bata tu. Mbona hueleweki!?
 
Wakuu habari za saivi,

Rejea mada tajwa hapo juu,

Nimekuwa nikifatilia mkopo wa bank kama mil.30 lakini nashangaa process ni nyingi sana kiasi ambacho imechukua karibia nusu mwezi (wiki mbili hivi) lakini bado mpaka saivi japo nimebakiza vitu kazaa kufanikisha issue nzima.

Niende moja moja kwa moja pointi yangu wakuu wazi kwamba bank walitaka kujua kama account yangu inamzunguko au laa, sasa nachojiuliza ni hiki mkopo wa mil.30 marejesho ya mwaka mzima na wanataka account yangu ndo iwalipe iyo mil.30 kutokana na huo mzunguko wa hiyo account (account transactions) itawalipaje na mimi nitapataje riba katika account yangu.

Pia nilitaka mnishauri wakuu nisijeingizwa mjini nibaki nawafanyia bank kazi wakuu!

Nawasilisha.

Karibuni.
Kaka, nakushauri tu, Achana na huo Mkopo.
 
We mgeni wa mikopo eeh? Ulizia kwa ma Alwani wale wamama wa nyumbani wanao kimbizana na maafisa wa bank kwa ajili ya marejesho.
All in all,Una biashara?? Sikushauri ukope Ili uanzishe biashara,kopa Ili uendeleza biashara. May be Kama mkopo wa ujenzi na mingineyo.
 
Yaani, hujaeleza chochote kuhusu mkopo, umetaja tu kuwa utachukua mkopo. Na mzunguko wa pesa katika akaunti yako.

Mawazo yako hapa kwenye maandishi yaneparanganyika hakuna mantiki hata chembe.

Kama hivyo Ndivyo ulivyo na kuwaza kwako kupo hivyo basi nikushauli tu, ni bora huo mkopo uachane nao.

Vinginevyo, kama bado unahitaji ushauri kuhusu mkopo rudia kuandika vizuri na upange mawazo yako vizuri na kwa ufasaha.

Kwa sababu hapa naweza nikatoa maoni yangu ila ni Kwa kuunganisha dots kutoka kwenye uzi wako kitu ambacho wewe unapaswa uandike kitu kinachoeleweka ili mtu anayekusaidia atoe majibu mubashara.
 
We mgeni wa mikopo eeh? Ulizia kwa ma Alwani wale wamama wa nyumbani wanao kimbizana na maafisa wa bank kwa ajili ya marejesho.
All in all,Una biashara?? Sikushauri ukope Ili uanzishe biashara,kopa Ili uendeleza biashara. May be Kama mkopo wa ujenzi na mingineyo.
biashara ndio ninayo mkuu mtaji wake mil.50
 
sawa mkuu asante kwa ushauri japo sio wa moja kwa moja
Yaani, hujaeleza chochote kuhusu mkopo, umetaja tu kuwa utachukua mkopo. Na mzunguko wa pesa katika akaunti yako.

Mawazo yako hapa kwenye maandishi yaneparanganyika hakuna mantiki hata chembe.

Kama hivyo Ndivyo ulivyo na kuwaza kwako kupo hivyo basi nikushauli tu, ni bora huo mkopo uachane nao.

Vinginevyo, kama bado unahitaji ushauri kuhusu mkopo rudia kuandika vizuri na upange mawazo yako vizuri na kwa ufasaha.

Kwa sababu hapa naweza nikatoa maoni yangu ila ni Kwa kuunganisha dots kutoka kwenye uzi wako kitu ambacho wewe unapaswa uandike kitu kinachoeleweka ili mtu anayekusaidia atoe majibu mubashara.
 
Loan bank na jinsi ambavyo utapata faida kupitia mkopo wa bank Karibuni.
.
Swali zuri, wengine wataponda, mkopo sio mbaya, swala kujipanga sana na umakini utalipaje kwa adabu, benki wakisema mzunguko wanamaanisha hela inayoingia na kutoka kwenye akaunti yako, kuingia kama deposits/salary au la, kutoka kama kutoa kwenye atm au benki kwenyewe, sasa wataangalia kwa mahesabu yao kwa mwaka, je hela iliyoingia hasa ilikuwa ngapi, na ulibakiza hasa ngapi, ile iliyoingia hasa ndio itakuwa dira yao kujuwa wakupe ngapi au mkopo wa shs. ngapi, ili usiuumie....maafisa wengi benki wanapenda waambia wateja wao, wawe wanaweka hela benki hasa, tpesa/mpesa/aitel money etc, tumbukiza kule, kutoa watoa kule kumlipa mtu au kwa matumizi yako binafsi, kupitia simbanking.
Ila kama wengi walivyoshauri, huu mkopo uangalie usije ukawa majonzi ya wewe na familia, kama una uhakika wa kuupata kaka hakikisha unazalisha au wewe unao uwezo wa kuulipa kila mwezi kwa miaka mtakayokubaliana na benki bila kukosa, ama sivyo utafilisika kabisa...kila la kheri
 
.
Swali zuri, wengine wataponda, mkopo sio mbaya, swala kujipanga sana na umakini utalipaje kwa adabu, benki wakisema mzunguko wanamaanisha hela inayoingia na kutoka kwenye akaunti yako, kuingia kama deposits/salary au la, kutoka kama kutoa kwenye atm au benki kwenyewe, sasa wataangalia kwa mahesabu yao kwa mwaka, je hela iliyoingia hasa ilikuwa ngapi, na ulibakiza hasa ngapi, ile iliyoingia hasa ndio itakuwa dira yao kujuwa wakupe ngapi au mkopo wa shs. ngapi, ili usiuumie....maafisa wengi benki wanapenda waambia wateja wao, wawe wanaweka hela benki hasa, tpesa/mpesa/aitel money etc, tumbukiza kule, kutoa watoa kule kumlipa mtu au kwa matumizi yako binafsi, kupitia simbanking.
Ila kama wengi walivyoshauri, huu mkopo uangalie usije ukawa majonzi ya wewe na familia, kama una uhakika wa kuupata kaka hakikisha unazalisha au wewe unao uwezo wa kuulipa kila mwezi kwa miaka mtakayokubaliana na benki bila kukosa, ama sivyo utafilisika kabisa...kila la kheri
kwakweli umesaidia sana mkuu shukrani
 
Back
Top Bottom