Loan allocation for continous students OUT

Loan allocation for continous students OUT

wale continous allocation zao zimetoka lkn kama ulisup...au ulishikwa hata coursework moja mkopo haupo labda batch inginee
Na kiingereza hiki cha continous huna supp? Kweli bodi watazame upya vigezo vya wakopaji, madaktari wamekosa mikopo.
 
Mwenye kujua jinsi ya kuangalia kama nimepata mkopo au la! Maana nikiingia olas.heslb.go.tz hakuna sehemu ya loan allocation
 
mmmh!! bodi mwaka huu!! au wenginine allocation mnatumiwa kwa SMS.
 
wale continous allocation zao zimetoka lkn kama ulisup...au ulishikwa hata coursework moja mkopo haupo labda batch inginee

Serikali wanatupiga changa la macho,apo wanatafuta pesa za kuongeza kwa first year ambapo batch ya pili inatoka next week#Hii ndio Tanzania ya viwanda
 
Back
Top Bottom