uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,387
Waziri wa usalama wa USA alizuru israeli kwa mara ya tatu ndani ya mwezi mmoja.
Baada ya mazungumzo na serikali ya Tel aviv ameruhusu israeli iendelee kuwamaliza magaidi ya Hamas.
Ikumbukwe baraza la umoja wa mataifa lilipiga kura ya kusitishwa vita ya israeli na magaidi ya mahas.
Lakini nchi zenye nguvu duniani zilipiga kura ya hapana ama zilijitenga na ile kura ya ubatili.
Hata hivyo waziri huyo wa ulinzi ameiambia israeli izingatie maaneo ya watu wengi hata km magaidi wamejificha.
Waziri wa ulinzi wa israeli alisema wangeweza kumaliza vita gaza kwa siku moja lkn wanazingatia maisha ya watu wasio na hatia hasa watoto na wazee wasiojieweza.
Credit: Reuters
Baada ya mazungumzo na serikali ya Tel aviv ameruhusu israeli iendelee kuwamaliza magaidi ya Hamas.
Ikumbukwe baraza la umoja wa mataifa lilipiga kura ya kusitishwa vita ya israeli na magaidi ya mahas.
Lakini nchi zenye nguvu duniani zilipiga kura ya hapana ama zilijitenga na ile kura ya ubatili.
Hata hivyo waziri huyo wa ulinzi ameiambia israeli izingatie maaneo ya watu wengi hata km magaidi wamejificha.
Waziri wa ulinzi wa israeli alisema wangeweza kumaliza vita gaza kwa siku moja lkn wanazingatia maisha ya watu wasio na hatia hasa watoto na wazee wasiojieweza.
Credit: Reuters