Feiaidan
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 237
- 130
Inasikitisha!
Mambo ya kujisifia vyuo na shule ni sawa na watoto wadogo wanapojisifia uzuri wa nyumbani kwao. Lakini akishakua ataanza kubadilisha mtazamo na kuanza kujisifu kwa mafanikio yake binafsi aliyoyapata.
Pevuka.
Jisifu kwa mafanikio uliyonayo, unasifia vyuo? Unaweza ukasifia vyuo na ukawa na mafanikio madogo kuliko hata ambae hafahamu vyuo.
Vyuo ni kama mabasi yanayokuleta kutoka kijijini kuja mjini, sasa unaweza ukajisifu umepanda luxury bus, afu ukafika mjini na usidanikishe ndoto zako wakati wenzio walikuja mjini na lori na walipofika mjini wakatimiza ndoto na wakawa mamilionea.
Ni michezo ya kitoto tu, ni kama vile unapokutana na mtu anaejisifu kuwa yeye ni rijali.
Na hii ndio sababu tanzania haiendelei kwa kasi nzuri, kwa sababu asilimia kubwa ya wasomi wake wanasoma ili wapate best grades na sio competence and efficiency.
Angalia scholars wenye mafanikio makubwa na walioleta mabadiliko, hakuna anaejisifu amesoma hapa, pale au kule.
Watu wanasifia vyuo mithili ya clabu za mpira!!!
Inasikitisha.
Mambo ya kujisifia vyuo na shule ni sawa na watoto wadogo wanapojisifia uzuri wa nyumbani kwao. Lakini akishakua ataanza kubadilisha mtazamo na kuanza kujisifu kwa mafanikio yake binafsi aliyoyapata.
Pevuka.
Jisifu kwa mafanikio uliyonayo, unasifia vyuo? Unaweza ukasifia vyuo na ukawa na mafanikio madogo kuliko hata ambae hafahamu vyuo.
Vyuo ni kama mabasi yanayokuleta kutoka kijijini kuja mjini, sasa unaweza ukajisifu umepanda luxury bus, afu ukafika mjini na usidanikishe ndoto zako wakati wenzio walikuja mjini na lori na walipofika mjini wakatimiza ndoto na wakawa mamilionea.
Ni michezo ya kitoto tu, ni kama vile unapokutana na mtu anaejisifu kuwa yeye ni rijali.
Na hii ndio sababu tanzania haiendelei kwa kasi nzuri, kwa sababu asilimia kubwa ya wasomi wake wanasoma ili wapate best grades na sio competence and efficiency.
Angalia scholars wenye mafanikio makubwa na walioleta mabadiliko, hakuna anaejisifu amesoma hapa, pale au kule.
Watu wanasifia vyuo mithili ya clabu za mpira!!!
Inasikitisha.