natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
nimeaply saut wamentosa wanataka wamemchukua mtu ana 3.6 wa udsm du kazi ipo udsm pia wamentosa kufundisha kabudi kantolea nje
Tumaini first class si tunajiokotea tu kama maembe mwituni. Angalia kwa mfano wew hapo eti epo talented kwenye law practice, hivi hiyo ingekuwa ni talent kungekuwa na law school? Mwenzio waTumaini first class hiyo hiyo juzi kwenye interview somehwere tunamuuliza "Who is a legal person?" anajibu "is a person who is well qualidfied in legal matters"
kwani alitakiwa ajibuje mkuu?
natafuta kazi graduate frm tumaini very talented in law practice
Tumaini first class si tunajiokotea tu kama maembe mwituni. Angalia kwa mfano wew hapo eti epo talented kwenye law practice, hivi hiyo ingekuwa ni talent kungekuwa na law school? Mwenzio waTumaini first class hiyo hiyo juzi kwenye interview somehwere tunamuuliza "Who is a legal person?" anajibu "is a person who is well qualidfied in legal matters"
Tumaini first class si tunajiokotea tu kama maembe mwituni. Angalia kwa mfano wew hapo eti epo talented kwenye law practice, hivi hiyo ingekuwa ni talent kungekuwa na law school? Mwenzio waTumaini first class hiyo hiyo juzi kwenye interview somehwere tunamuuliza "Who is a legal person?" anajibu "is a person who is well qualidfied in legal matters"
Acha uongo kijanaKumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
Acha uongo kijana
Kuna watu wana akili balaa!!
Sinde Warioba alipiga GPA ya kufa mtu hadi leo hii UDSM wanamheshimu
Njoo darasa la kina Tundu Lissu,LLB UDSM 1991 to 1994, kuna Lissu,Ngeleja,Ngudungi former Presidaa wa DARUSO Enzi zao,na Feleshi DPP vijana walifanya wounders but Mkuu wa kaya enzi hizo Ndg Ally hakuwapa nafasi ya kubaki
Kwan vijana walikua against naye kabisa
Hata huwa hufuatilii mambo UDSM kuna first class 4 tu,prof.majamba,prof.kabudi,dr.tenga,dr.migiro
Hata huwa hufuatilii mambo UDSM kuna first class 4 tu,prof.majamba,prof.kabudi,dr.tenga,dr.migiro