Lizaboni umepotelea wapi?

Lizaboni umepotelea wapi?

Ndugu Lizaboni popote ulipo tafadhali njoo huku JF. Tumezimisi jumbe zako na michamgo mbalimbali uliyokuwa unaitoa- hasa jukwaa la Siasa. Nakumbuka wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana, jinsi ulivyokuwa unamwaga nondo za ukweli. Je, uko wapi ndugu yetu au umebadilisha ID?
Swali TATA
 
atakuwa anatafuta kazi ktk tv station ya uchambuz wa magazet ili mkulu amuone
 
Ndugu Lizaboni popote ulipo tafadhali njoo huku JF. Tumezimisi jumbe zako na michamgo mbalimbali uliyokuwa unaitoa- hasa jukwaa la Siasa. Nakumbuka wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana, jinsi ulivyokuwa unamwaga nondo za ukweli. Je, uko wapi ndugu yetu au umebadilisha ID?
Yawezekana unalako jambo
 
Sasa hivi hali ngumu jamani acheni utani.. mimi nina gunia kama 100 za mbaazi na dengu gumia 60 hapa Kondoa wateja wetu walikuwa wahindi sasa hivi hawanunui tena wanasema biashara hailipi na serikali iliyopo madarakani sio rafiki wa wafanyabiashara hivyo wamefunga biashara..Soko la ndani kama halipo sijui tutaishije hivi kilimo chenyewe cha mkopo
 
Sasa hivi hali ngumu jamani acheni utani.. mimi nina gunia kama 100 za mbaazi na dengu gumia 60 hapa Kondoa wateja wetu walikuwa wahindi sasa hivi hawanunui tena wanasema biashara hailipi na serikali iliyopo madarakani sio rafiki wa wafanyabiashara hivyo wamefunga biashara..Soko la ndani kama halipo sijui tutaishije hivi kilimo chenyewe cha mkopo
Pole sana ndugu. Vumilia. Huu ugumu ni wa muda mfupi. Baadaye mambo yatakuwa mazuri. KUMBUKA KUWA MVUMILIVU HULA MBIVU.
 
Atakuja na ID nyingine kulalamikia serikali ya Magufuli kwenda mlama!
 
Back
Top Bottom