this is the best joke-kumbukeni ya wale wafanyabiashara wa madini.
Jamani na nyie waandishi wengine mnatudanganya na hizo habari zenu.Ukisoma utadhani kitu kipo seriou,miaka miwili c wanahukumiwa vibaka au nimesahau!!
Oga, naomba usome definition ya public service, benki kuu haifall kabisa under the purview of public servant. Na Penal Code haina defination hiyo na sheria ya BOT haimdesignate staff wa BOT kama public servant.
That aside isije ikawa walifanya kama loliondo na longido, operesheni ya kichwa na mguu you cant rule that out watanzania hatupendi kusumbua vichwa vyetu.