FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 355
Mseminari Liyumba ameachiwa huru punde na mahakama baada ya kujiridhisha kuwa charge waliyoileta mahakamani ni batili, lakini punde vijana wa Hosea wameshamchukua Liyumba na sasa hivi yuko PCCB Makao Makuu...
Wajuzi wa mambo nendeni Kisutu na ktk makorido tupatieni latest
Wajuzi wa mambo nendeni Kisutu na ktk makorido tupatieni latest