johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,937
- 141,911
- Thread starter
- #21
Labda mwenye nyumba alitaka usiku ule wasinaniliu.......!!!!Kibajaji alisema......
Hatokuja kusahau kazi yake ya kuuza kahawa kwa mzee Saidi na Siku alipo fukuzwa kwenye chumba kimoja alichokua amepanga, na mwenyenyumba aling'oa mabati na kisha mvua ilinyesha usiku ule......