Livingstone Lusinde(Mb): Muuza kahawa aliyemuoa house girl!

MKUU UNAJUA UTAMU WA MA HOUSE GIRL?

USIJARIBU, WATAMU MPAKA HASIRA
Mtazamo hasi wa kijinsia. House girl ni mtu mwenye ajira halali lakini kwa tabia ya ukware ya wanaume, house girl amekuwa mtu wa kudharauliwa. unaposema "Utamamu wa house girl" ume "commodify" ubinadamu wake. Unatakiwa kuwaomba radhi house girls kupitia jukwaa hili.
 
Hawa vilaza hawajitambui kwamba ni vilaza. Mtu akiwa na sent mbili tu tayari anajilinganisha na professor. Tumia hiyo sent basi leo ununue PhD ya orthopedic.
 
Kuna ubora wowote wa hotuba za watu kama hawa mbali na kumimina mitusi na dhihaka? Kama upo paste hapa
wanatoa Inspirational ideas kwa watu kama nyie ambao hamjafanikiwa!..au ulitaka mpaka bakhressa aje aseme ndo uone kutosoma sio kutofanikiwa?..
 
hiyo phd inaleta chakula mezani??

phd ya kukariri haijawai gundua kitu nayo unasema phd...

pesa ndio kila kitu kwa maisha ya sasa.. hizo.phd zikitumbuliwa zinalia machozi na zinasema ndugu wananitegemea.. halafu unasema zimeelimika

Hawa vilaza hawajitambui kwamba ni vilaza. Mtu akiwa na sent mbili tu tayari anajilinganisha na professor. Tumia hiyo sent basi leo ununue PhD ya orthopedic.
 
Kwa hiyo miswada ya kimombo yeye uwa anajibu tu ipiteeeee!!,mazero blain bwana
 
Mbunge wa Mtera mh Lusinde ( Kibajaji ) amesema katika ujana wake alikuwa ni muuza kahawa maarufu pale Kawe ambapo alijulikana kama Stone. Lusinde amesema yeye elimu yake siyo rasmi na kwa hiyo hana cheti chochote cha taaluma ila anajivunia mafanikio makubwa aliyonayo kuwapita hata hao wenye PhD.

Amesisitiza kwamba akiwa muuza kahawa alibahatika kumuoa house girl na waliishi maisha ya kuunga unga lakini kwa sasa mke wake huyo anaendesha Prado VX, hivyo anamshukuru Mungu na kufafanua kuwa kiini cha mafamikio yake ni uaminifu, nidhamu na heshima ya hali ya juu aliyonayo.

Mh Lusinde ameyasema hayo yote katika semina ya fursa anzia sokoni iliyoandaliwa na Clouds Media na kurushwa luningani mubashara kupitia Clouds Tv jana mjini Dodoma.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Nawasilisha!
Na mahousegirl wana tabia za kudokoa vitu na kuwapa mabwana zao hakulisema hili yeye alinufaika na vipi
 
Alisema.....
Kilicho mfanya afikie hapo alipo leo, ilikua ni nidhamu ya pesa. Na kwa muuza kahawa ilikua ni mwiko kupanda daladala, kula kwa mama ntilie, kununua viatu na kuhonga. Hayo yote yalikua ni marufuku kwake
Alikaza kwelikweli
 
Back
Top Bottom