Liverpool yachapwa na Fulham Magoli 3-2 kwenye EPL

Liverpool yachapwa na Fulham Magoli 3-2 kwenye EPL

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
3,177
Reaction score
7,472
Ligi Kuu ya England Premier League imeendelea leo Aprili 6, 2025, timu ya #Liverpool imepoteza mchezo wake wa pili msimu huu (2024/25) katika Ligi hiyo kwa kukubali kichapo cha Magoli 3-2 kutoka kwa #Fulham

Michezo minchine, Brentford imeishika shati Chelsea katika matokeo ya 0-0 wakati Tottenham imeichapa Southampton Magoli 3-1, matokeo hayo yanaifanya Southampton kushuka Daraja rasmi ikiw aimesaliwa na michezo saba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom