JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,177
- 7,472
Ligi Kuu ya England Premier League imeendelea leo Aprili 6, 2025, timu ya #Liverpool imepoteza mchezo wake wa pili msimu huu (2024/25) katika Ligi hiyo kwa kukubali kichapo cha Magoli 3-2 kutoka kwa #Fulham
Michezo minchine, Brentford imeishika shati Chelsea katika matokeo ya 0-0 wakati Tottenham imeichapa Southampton Magoli 3-1, matokeo hayo yanaifanya Southampton kushuka Daraja rasmi ikiw aimesaliwa na michezo saba.
Michezo minchine, Brentford imeishika shati Chelsea katika matokeo ya 0-0 wakati Tottenham imeichapa Southampton Magoli 3-1, matokeo hayo yanaifanya Southampton kushuka Daraja rasmi ikiw aimesaliwa na michezo saba.