Niko na Mshabiki wa Arsenal anakataa kulipa bill ya bia alizokunywa lakini tunampa matumaini kua hayo magoli yatarudi na anatullia! More Updates coming!
Wadau ndo nimewasha t.v nw,umeme ulikuwa umekatika net inazingia jf ndo kabisaa nakutana na haya matokeo ambayo sikuyatarajia whats happening to arsenal mpk wakalala mabao yote haya???