Liverpool lose hope

Liverpool lose hope

Hizi zitachomwa moto
Ya ni kweli ukweli mtu anakubali kama vile walivyozichoma moto man united kipindi kile kule sunderland zao za official change room.
 
Ila still naiombea mbaya man city hata apigwe mechi moja, ila dah sijui maana yule jamaa sio kabisa ashindwagi kabisa.
 
Ila still naiombea mbaya man city hata apigwe mechi moja, ila dah sijui maana yule jamaa sio kabisa ashindwagi kabisa.

toure, toure, toure, silva, aguero aguero aguerooo it's a goooooal!
aston v 0-3 man c 92"
 
Sijawahi kuomba dua mbaya lakini sasa inanilazimu "MUNGU WANGU NAKUOMBA, MAN CITY WAFUNGWE MECHI ZOTE ZILIZOBAKI NA LIVERPOOL ASHINDE MCHEZO ULIOBAKI (Na sisi mwaka huu tuonje furaha).....AAAMEN.

Hahahahahaha! Mkuu mie nimeshajijenga kisaikolojia kwamba nafasi ya 2 sio mbaya hizo dua tar 11 zinaweza kukupandishia sukari mwishowe chali!!
 
Back
Top Bottom