Liverpool imethibitisha kuwa La Liga ni baba lao

Randy orton

JF-Expert Member
Apr 29, 2019
1,338
3,541
Timu ambayo imefungwa mechi moja tuu E.P.L na inaongoza kwa tofauti ya pointi zaidi ya 20 inapigwa nje na ndani na timu iliyopo nafasi ya 6 La Liga.

Leo ndio mtajua kuwa huwa mnakaririshwa kuwa England is the best league


2020-03-12%2001.46.43.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini Manchester City alipomfunga Real Madrid nyumbani kwake ulijifanya kama hujuwi kuwa kuna kitu kinaitwa JF kuja kuanzisha uzi si ndiyo?

Liverpool hiihii ilipomfunga Barcelona 4 - 0 pia ulisahau kuja kuanzisha Uzi si ndiyo?

Nyinyi Washabiki wa Matukio bora mushabikie Rede tu mpira una wenyewe.
 
Uefa na ligi ni vitu viwili tofaut kabisa

Liver alibeba uefa instanbul mbele ya milan ila kwenye ligi alikuwa hata haongozi

Chelsea alibeba uefa akiwa ni wa 6

Madrid hajachukua laliga mfululizo miaka ya karibun ila uefa kaichukua mara 3 mfululizo

Hizi knockout ni balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Manchester City alipomfunga Real Madrid nyumbani kwake ulijifanya kama hujuwi kuwa kuna kitu kinaitwa JF kuja kuanzisha uzi si ndiyo?

Liverpool hiihii ilipomfunga Barcelona 4 - 0 pia ulisahau kuja kuanzisha Uzi si ndiyo?

Nyinyi Washabiki wa Matukio bora mushabikie Rede tu mpira una wenyewe.
Maskini wa fikra huyu mwacheni.
 
Man city kamfunga real madrid na man city haongozi ligi,msim jana liver alimtoa barca ambae ni bingwa wa laliga je na mimi utakubali nikisema epl ni bora kuliko laliga????kama ubora wa ligi hupimwa kwa kutoana kwenye uefa je EPL itakuwa bora kuliko laliga kwa hayo matokeo hapo?????
 
Lakini Manchester City alipomfunga Real Madrid nyumbani kwake ulijifanya kama hujuwi kuwa kuna kitu kinaitwa JF kuja kuanzisha uzi si ndiyo?

Liverpool hiihii ilipomfunga Barcelona 4 - 0 pia ulisahau kuja kuanzisha Uzi si ndiyo?

Nyinyi Washabiki wa Matukio bora mushabikie Rede tu mpira una wenyewe.
point less hauna tofauti na Dr mashinji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu ambayo imefungwa mechi moja tuu E.P.L na inaongoza kwa tofauti ya pointi zaidi ya 20 inapigwa nje na ndani na timu iliyopo nafasi ya 6 La Liga ...

Leo ndio mtajua kuwa huwa mnakaririshwa kuwa England is the best league

View attachment 1384987

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kwa nini hukuja anzisha uzi wako last week mbabe wa la liga alipokarishwa kwake na man city au last season EPL ilipotawala fainali zote tena kwa timu za EPL kuwapa vichapo vikali vikali timu za la liga.... Ligi bora haipigiwi debe mzee.... Chema chajiuza kibaya chajitembeza.
 
Hahaha hi tumu hapana aisee yaan imetoka nyuma yamagoli mawili na kumuongezea mtu jingine tena dakika za mwishoni..
 
This Silence of looserpool Fans is Sponsore by Llorente....

Yule Tetea Tuliyekua tunamtafuta hatimaye kapatikana Anfield
 
Man city kamfunga real madrid na man city haongozi ligi,msim jana liver alimtoa barca ambae ni bingwa wa laliga je na mimi utakubali nikisema epl ni bora kuliko laliga????kama ubora wa ligi hupimwa kwa kutoana kwenye uefa je EPL itakuwa bora kuliko laliga kwa hayo matokeo hapo?????
Uzi ulifunguliwa kwa mhemko huu. Haujabase kwenye facts kabisa
 
Back
Top Bottom