live uzinduzi wa ccm sombetini

live uzinduzi wa ccm sombetini

blackwoman

Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
14
Reaction score
1
Niko uwanja wa mbauda sokoni watu wanazidi huku wakiwa wamependeza kwa kijani na njano kujaa kuna piki piki, magari na mabus mawili.
CCM nambari wani! hii kata ni yetu tu
ninapicha ila sijui namna ya kuziweka..
 
..

....Kamwe Shetani hawezi kutawala Dunia !!!!

Chadema ni Mpango wa Mungu
 
Ilikuwa nne bila sasa itakuwa moja bila. kimoja cha nguruwe, watoto kumi
 
:dance::dance: utabwabwaja sana ila pesa wanachukua wanakula ila wanalala chadema
 
Niko uwanja wa mbauda sokoni watu wanazidi huku wakiwa wamependeza kwa kijani na njano kujaa kuna piki piki, magari na mabus mawili.
CCM nambari wani! hii kata ni yetu tu
ninapicha ila sijui namna ya kuziweka..

Vijana wa Toyo wamepewa buku kumi ya mfukoni, kumi ya kuweka mafuta. Vijana wangu wamekwenda kupiga hela! Tshirt, kofia na bendera zitasalimishwa kwenye mkutano wa cdm kesho zichomwe moto uwanjani maana havifai hata kudekia!!
 
Vijana wa Toyo wamepewa buku kumi ya mfukoni, kumi ya kuweka mafuta. Vijana wangu wamekwenda kupiga hela! Tshirt, kofia na bendera zitasalimishwa kwenye mkutano wa cdm kesho zichomwe moto uwanjani maana havifai hata kudekia!!

....ha ha ha ha Kamanda umeiona hiyo kitu hawa creche tu !!!!
 
Hata mwivi humwomba Mungu pindi aendapo kubomoa nyumba za watu.

Oooho!!? Switii, Safari hii Nchemba amekuacha sijui atakuwa amekuja na nani!? Poor you, umetumika ukaachwa sasa unajibaraguza humu! Nakumbuka mara ya mwisho mlikupokuja Arusha kikao cha pale SG Resort kiliposhtukiwa hujaonekana tena!
Pole sana!
 
Wezi siku hizi wanavaa suti mama, abomowe tena, kazi yote hiyo ya nini wakati KALAMU ipo? Akishaiba, anakuja kuhonga Mabinti zetu ili wahamie chama fulani na kuwala unyumba. You know what I'm talking hasa ukianzia Kagari kekundu......

Hata mwivi humwomba Mungu pindi aendapo kubomoa nyumba za watu.
 
niko uwanja wa mbauda sokoni watu wanazidi huku wakiwa wamependeza kwa kijani na njano kujaa kuna piki piki, magari na mabus mawili.
Ccm nambari wani! Hii kata ni yetu tu
ninapicha ila sijui namna ya kuziweka..

haya tuwekee na picha ili tuwaone jamaa ambao mwanza washabiki wa ccm wanaitwa "mashing'weng'we"
 
Nyie mafisadi arusha ampati kitu hicho chama watu wamekichoka
.hata aibu amwoni
 
Wameamua kwenda Sokon Mbauda kwenye watu wengi ehhh....? CCM Arusha is a living dead
 
Ina maana huyu Julihana Shenzi kahongwa kagari Kekundu baada ya kuliwa unyumba...?
 
Mzee wa miaka 80 aliyekua mtendaji mkuu wa wilaya ya Mbarali, Mbozi district commissioner (miaka ya 70's), Mwenyekiti wa kijiji cha Chimala, na alisha shika nyadhifa nyingi ndani ya CCM. Bado ni kada wa CCM, kwa maana hajarudisha kadi; ila anapenda upinzani uimalike.

Leo Chimala ametoa kiwanja kwaajili ya tawi la bodaboda Chimala stand ( the best location in Chimala)

Sugu na Dr. Slaa walikuwepo kwenye ufunguzi wa tawi hili la bodaboda.
 
Back
Top Bottom