Live uptodate Uchaguzi mkuu wa D.R.C December 2019

Victor wa happy

JF-Expert Member
Apr 24, 2013
11,660
11,641
Kama tunavyojua wananchi wa drc wapo kwenye zoezi la upigaji kura

Tangu kifo cha mzalendo namba moja wa drc apokonywe madaraka congo haijashuhudia uchaguzi wa kidemokrasia


Kuna wagombea wengi ila kuna watatu wenye ushawishi zaidi.

1.Martin fyatu
Mwenye miaka 62 kutoka chama cha Ecide lakini anagombea kupitia mwamvuli wa muungano wa LAMUKA
Ni mkiristo kwa dini amekuwa mbunge tangu mwaka 2006 kabla ya hapo alikuwa mkurugenzi mkuu wa kampuni ya mafuta bahati mbaya haaminiki miongoni mwa watu masikini wanamsema ni mtetezi wa mabeberu.nafasi yake ni finyu kushinda


Emmanuel Ramadhan Shadary.
Mwenye miaka 58 kutoka muungano wa udps , chama tawala pia lakini si muungano imara wa kisiasa nchini humo ila wanabebwa na dola .
Huyu ni kipenzi cha kabila amekuwa na nyadhifa mbalimbali chini ya kabila.anatokea mashariki anapotoka kabila anazungumza vizuri kiswahili (ni ndugu yetu) huyu ana nafasi kubwa ya kumrithi kabila kutokana na hali halisi ya kisiasa ilivyo huko
Bahati mbaya amewekewa vikwazo chungu nzima na umoja wa ulaya...

3Felix Tshiseked
Miaka 55 kutoka muungano wa udpc amebobea katika masomo ya biashara ni mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa mahiri wa drc hayati tshiseked

Ameahidi kutokomeza umasikini bahati mbaya haaminiwi sana kutoka vyama vya upinzani, upinzani umepasuka vipande vipande kutokana na wale waliotarajiwa kugombea kufyekelewa mbali kama bemba na wenzake na tume ya uchaguzi

Je uchaguzi utaisha salama?

Heri ya mwaka mpya 2019

...
Uptodate Rais josep kabila amemtimua balozi wa ulaya nchini kongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The main culprit of the African limping democracy is the Electoral Bodies that are bestowed with the role of supervising the elections.

These electoral commissions are reconstituted mostly with the people appointed by the incumbents and are there to ensure that the ruling party is reelected into office.

Judging by what's going on in Congo DR, it's likely the story is going to repeat itself, the ruling coalition is set to be declared the winner much to the opposition's discontent.

That being the case, the former Zaire is likely to descend into anarchy as the opposition politicians are not poised to concede defeat and might unleash their supporters to launch the civil unrest something that will escalate the already fluid and volatile situation.

Now that the election is over, let us hope that the electoral commission will show impartiality by adhering to the laws and regulations governing the conduct of the elections and desist from engaging in any acts that might spoil their credibility as the neutral arbiter of elections.
 
When people declare their candidacy for an election, they all wish to win. Unfortunately, only one person can be declared the winner.

I hope when the electoral commission in DRC names the president-elect, the losers will congratulate him. The losing candidates can work with their (opposition)MPs to keep the government in check, highlighting its shortcomings etc so that the people can elect them(losing candidates) next time.

Nawaombea wenzetu wa Congo amani.
 
Taarifa za udukuzi zinadokeza kwamba Martin Fayulu uliyempuuza ameshinda , je utakuwa tayari kuedit uzi wako ?
 
Back
Top Bottom