Live Updates VPL: Simba Sc Vs Biashara Utd,Mkapa Stadium

Hakuna kitu kinanichukiza kama hicho hakika sifurahiiiii hiki kiKocha sikipendi kwa mbinu zake. Unacheza na Ihefu au Biashara na Mshambuliaji mmoja tukicheza na TP Mazembe si ndio tutacheza na Viungo timu nzima!
Mbinu za huyu Kocha zinabebwa na Uwezo binafsi wa Wachezaji lkn kocha hakuna pale. Ona sasa amekazana na Mzamiru akiwaaacha watu wenye Mpira wao Benchi
Ndugu unaangalia mpira?
Vp mzamiru?
 
Back
Top Bottom