Ok!Kabanwa na Msuli akatolewa baada ya kupiga mpira akaukosa
Ok!Kabanwa na Msuli akatolewa baada ya kupiga mpira akaukosa
inapendezaHii Simba hii hii Simba hii
Kuna Watu wamenuna huko
Chama alitwambia Mashabiki mapeeeema kwamba wakikoswakoswa saaana hao Biashara watafungwa goli 2 na tayar mapema tu washatimiza ahadi yao.Biashara wana kazi ya kuokoa tu
Halafu game ikiwa tamu unaweza seme muda unaenda fasta..maana dah,ni burudani ya kufa mtu!HT Simba 2 - 0 Biashara
Simba wanacheza kama play station,wanasakama kama nyuki
Usje ukakimbia tuuuHii game ni draw leo. Mark this reply.
Ndugu unaangalia mpira?Hakuna kitu kinanichukiza kama hicho hakika sifurahiiiii hiki kiKocha sikipendi kwa mbinu zake. Unacheza na Ihefu au Biashara na Mshambuliaji mmoja tukicheza na TP Mazembe si ndio tutacheza na Viungo timu nzima!
Mbinu za huyu Kocha zinabebwa na Uwezo binafsi wa Wachezaji lkn kocha hakuna pale. Ona sasa amekazana na Mzamiru akiwaaacha watu wenye Mpira wao Benchi