Munambefu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 2,608
- 6,503
Ulizaliwa ukitanguliza maka.lio
Na weww nakuuliza ni za mama yako?mashoga nyie ee?
Ulizaliwa ukitanguliza maka.lio
Hahahaaa,ila wewe unapenda kutumia hilo neno kuwachokoza BAVICHA
breaking newsss
Dr feki slaa pressure imempanda ghafla
hivyo yupo njiani anakimbizwa hospitali ya aga khan
wale vijana wenye mahaba na padri slaa wawahi kumjulia hali aga khan
wakiinuka ujue Chagadema imekwisha!
Tanzania na utitiri wa vyama vya siasa! Mtu akitumiliwa na chama alichokuwemo anaanzisha chake mwishowe itafikia ukitimuliwa na ukoo unaanzisha wako.
Kwanini tusiunganishe kwanza nguvu ya vyama vilivyopo tuone km tunaweza kubadilisha upepo?
Nini matakwa ya kuendelea kugawanyika kwa kuanzisha vyama mbalimbali na kutafta wasuasi wapya?
Au vyama vya siasa navyo imekuwa uwekezaji ambapo watu wanawekeza ili kupata ruzuku toka serikalini?
Ingekuwa vipi ikipitishwa sheria ya kuondoa ruzuku inayotolewa kwa hivi vyama na kuzuia wahisani kivifadhiri mana nia yao si kuvisaidia kuleta maendeleo ya nchi bali kupitishia mianya yao ya kujinufaisha!
Inatosha sasa kwa huu utitiri wa vyama huku umasikini ukizidi bila kuleta mabadiliko yoyote!
Leo ni tukio la kihstoria hapa nchini ambapo Chama cha ACT-WAZALENDO kinazinduliwa rasmi,, tafadhari fuatilia uzi huu kwa live updates.
Updates..sijakimbia wazalendo.nilikabwa na majukum hapa ukumbini..no mafuriko...nyomi..with kibaoo..viongozi wakitaifa wameshawasili hivi sasa in utambulisho.
Updates 2.
Mshereheshaji anaeleza masuala kadhaa muhimu ktk chama ikiwa ni pamoja na uchaguzi ndani ya chama.uzinduzi Wa chama na uenezi wake.
Muongoza ratiba anaelezea milima na mabonde ndani ya chama tangu kimeanzishwa na jinsi uchaguzi ulivyofanikiwa hadi Jana ambapo chama kimehitimisha kwa kufanya uchaguzi wa kitaifa...
Updates..mdada machachari ktk kuimba anatoa burudani Kali hapa ukumbini
Sasa in utambulisho Wa viongozi waliochaguliwa Jana....ametambulishwa mwenyekiti Anna mughwira ..KATIBU MKUU Samson MWIGAMBA..makam bara na visiwani
Makan mwenyekiti bara SHABANI mambo ameeleza hivi sasa kwamba act ni ya watz wazalendo na ameomba wananchi wrote tuiunge mkono
Updates...mwenyekiti TAIFA Anna mughwira anahutubia hivi salsa .anasema act ni ya watz na ni chama kinachoweka maslahi ya TAIFA kwanza...kwamba act imetanguliza utu kwanza.
Updates...
Mwenyekiti anasrma act ni chama taasisi..in chama kinachojali maslahi ya TAIFA na kimebainisha ktk ilani kwamba kinawaenzi waasisi Wa TAIFA Mwl julius k.NYERERE na abeid karume..
Updates...anasema act imeandika historia katika TAIFA kwa kumchagua mwenyekiti Wa kwanza mwanamke...act imeanzia nyumbani hivyo tukiunge mkono
Updates...
Afande Sele ndani ya nyumba anatumbuiza
Zitti KABWE anahutuvia sasa anasema ni miaka 54 sasa tangu tupate Uhuru ndoto za waasisi w TAIFA hili hazijafikiwa badala Yake ni jinamizi la ufukara limelikumba taifa
Anasema act unaenda kurudisha misingi ya mwalim NYERERE
Act inataka kurejesha siasa za kizalendo na nchi irudi kwa wananchi.kuondoa mamlaka ya siasa kw wafanyabiashara kurudi kwa wananchi...
Viongozi Wa act kuweka hadharani Mali zao na kutangaza Mali na madeni Yake.
...updates...viongozi Wa chama TAIFA wanatia saini mikataba ya Ku surrender mali zao hadharani...
Acha uwongo wewe Zitto aliaga Kigoma,nguvu za matunguri waliofukizwa vichwani mwao itakuwaimekwisha.
Mkuu Ruttashobolwa umesahau na akaunti ya uongo anayomiliki yenye salio la Terabyte 1,000
Hivi ni kweli Dr S hana mtoto mpaka umri huu aliofikia?
Kamanda povu la nini tulia dawa iingie ndio kwanza dozi zinaanza
Mali za Dr Slaa ni pamoja na joho la upadrisho,Mke mmoja na Girlfriend mmoja!
Halafu kule unajifanya humjui,nye yenu moja