Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Leo mtaa wa Ufipa kuna msiba
Yule mama nasikia ni chakla ya Mzee Rungwe, swahiba wa Zitto
Leo mtaa wa Ufipa kuna msiba
Wewe ulishwahi kwenda mahakamani? kwa issue yeyote ile?Ni wajibu wa raia kulinda na kuhakikisha sheria za nchi zinalindwa.Sasa kama anafahamu kuna uhalifu huo,aende mahakamani ni haki yake.Kujamba jamba huku hakutasaidia
Halafu kule unajifanya humjui,nye yenu mojaHahahaaa,naona unajenga ukaribu na adui yako ili ujue mbinu zake...lol
Mali za Dr Slaa ni pamoja na joho la upadrisho,Mke mmoja na Girlfriend mmoja!
Wewe ulishwahi kwenda mahakamani? kwa issue yeyote ile?
Kama ameweza kuwasaidia wachaga wasiondoke kwenye medani za kisiasa kwanini kwa "Waha"?
Wapi imeandikuwa kuwa ukishakuwa mwanachama wa chama fulani hutakiwi kuhama na kwenda kwingine?
Wapi imeelezwa kuwa raia haruhusiwi kujifananisha na Kiongozi wake wa kwanza as long as ni mzalendo?
Btw, nimeambiwa kuwa Gf wa slaa nae yupo! hahahaaa!
Chadema kazi mnayo..
Inakuuma nn?za mama yako?
Tulia dawa ikuingie dada
Yule mama nasikia ni chakla ya Mzee Rungwe, swahiba wa Zitto
Kumbe hapa Ukumbini kuna wengi walikuja kupata chakula cha ubongo kutoka kwa Lipumba. Lile dubwana limeongea upuuzi watu wametoka ukumbini wanalalamika wamedanganywa na ACT
Akiwa na uwezo ndio tuwapishe, au tunatakiwa tuungane na mwenye uwezo? Hoja yangu ni kuwa tusifurahie kupata wafuasi toka upinzani bali tufurahie zaidi tukipata wanachama wapya ili kuongeza nguvu ya upinzani kwa ujumla wake. Ikiwa lengo ni kudhoofisha upinzani itakuwa ni shida kwa vyama vyote vya upinzani kikiwemo chama hiki cha ACT.
Kumfananisha Nyerere na nyang'au ni kumkosea baba wa Taifa adabu.
ACT Wazalendo inavuma kwa kishindo