Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,863
- 14,346
Mapemaaaa......ndani ya mjengo,Sasa kila mtu atafute kichaka maana wa TZ km kawaida yetu kabaki huyo Hisia.
Nje ya Tanzania me wangu yule kijana Mburundi!!!
pacha mie wangu hisia wacha tuone
Mapemaaaa......ndani ya mjengo,Sasa kila mtu atafute kichaka maana wa TZ km kawaida yetu kabaki huyo Hisia.
Nje ya Tanzania me wangu yule kijana Mburundi!!!
Heaven on Earth hebu muache huyo figganigga kwa muda uje bana
Nami nshakujaa
mmh hii gauni ya joey mnaielewa wadau?
Namuona Hermy b yupo ki AY zaid leo