Wakenya siku zote wako strategic sana. Hata kwenye riadha huwa wanakuwa na wakimbiaji walioandaliwa kuwa washindi halafu kuna wengine kazi yao ni kuwachosha wapinzani.Wakenya Wajanja. Wameamua kumuua Nyambura ili kura zisigawanyike sana wasije wakakosa kote
jaman genekai furahi Little Angel Mapi atug msilale bila kutupia kura zenu leo,ili kesho tumalizie tano zilizobaki. huwezi jua bana maana huyu mtu anaonekana anakismati cha kuzaliwa nacho
pole zangu za dhati kabisa, toka ndani ya mtima wa moyo wangu zimuende mumamaaa ya patrick a.k.a miss strong .
Hisiaaaaaaaaaaa am so happy kwamba efforts zetu were something
DEMBA mambo yakikaa sawa plz nishtue nivotehata mimi nimeingia hawajaweka bado link ya kuvote labda kesho asubuhi
"lol... But kijana; the federation will still happen with or without the fightings etc.....i have not heard the tanzanian intellectuals (proffesors, doctors etc)saying that they do not want eaf.... If anything they have been silent knowing that it is a good thing to have eaf.
Balozi"
bwana balozi, i am also among the intellectuals (najifagilia mwenyewe). I don't like this monster political federation. No...no. No. Haiwezekani tuungane. What for? Hatuwezi kufanya kosa tena. Nimesoma mtanzania mmoja akisema kuwa ikitokea tukaungana ataanzisha kikundi cha wazalendo cha kupigania uhuru wa tanzania. Mimi siyapuuzi mawazo ya aina hiyo. Tunakaribisha machafuko katika eneo hili la afrika. Shirikisho la kisiasa big no. Huwezi kuungana na watu wanaokuona wewe ni takataka. Haiwezekani. Kila mtu abaki kwake katika nchi yake.
Waki activate voting holla me plz nivote.
Nimeshavote but sielewi kwanini wanaendelea kumuweka Hisia next page