Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,848
- 2,741
Heaven on Earth mumeo hisia angekuwa anachangamka kama kina Josh sjui ingekuwaje yaani sijui
Last edited by a moderator:
Tusker ya mwaka huu ni balaaa...
Huyu jamaa ngumu kumuelewa, yaani hata akisifia ni kama kaponda!!!!!Ian anasifia tu leo...LOVELY
haa haaa hivi mlikaa hadi saa ngapi? maana mie niliacha hata haijaisha
Mapi hasaara gani maana nimejikuta nachekaa tu
HAHAHAHAAAAAA DEMBA have mercy on my ribs LOL
nacheka sana......mi nimerudi nikaona hivi ni vi nini nikaenda zangu kulala
Heaven on Earth mumeo hisia angekuwa anachangamka kama kina Josh sjui ingekuwaje yaani sijui
Hahaahaaa... booonge la hasaraaaa
lipi hilo furahi?
Today is semi final. Thats why wanasifia tu. Madai yao makapi yameisha.. However i think kuna kapi moja limebaki
my best tpf season was ile ya kina alpha bana..ile ilikua moto