Mwisho wa Raundi ya Saba.
Naona kama vijana walitoshana nguvu kabisa hapa.
Si mchezo natamani Mtz ashinde kwa kweli.
Raundi ya 8 ishaanza hapa, Bado Ibra anajitahidi tunajaribu kupiga kelele hapa kumshangiliA Ibra.
Inaonekana amechoka, yapi maejitahidi Ibra hapa