Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
- Thread starter
- #581
Dr. Kupeng'e mi siyo Mungu. soma vizuri ID yanguAsante mungu
Last edited by a moderator:
Dr. Kupeng'e mi siyo Mungu. soma vizuri ID yanguAsante mungu
Makamanda tupeni update wengine tupo mbali Arusha.
mkuu hayo ni maelezo yako au ya mwakilishi wa AG?AG rep. decree inatolewa kwenye civil rules.
Hata tukisema hati ya kukaza hukumu ina matatizo nani wa kulaumiwa? Anayepaswa kulaumiwa ni mamlaka iliyotoa hati, siyo mwomba rufani, wala siyo wakili wake!
Alute Mughwa ameniudhi sana, he took much time on stupid arguments
Inaonekana wewe hauko aware na wala hujui kwamba leo ni majumuisho ya hoja tu na si hukumu. hiyo kesi inakuja Dar hapo ni wanasheria wanaoneshana mbwembwe tu na umahiri wa fani hakuna jipya.khaaaa hadi lema ashinde makange yako yatadoda ! chezeiya ikulu wewe
Nakumbuka ile hukumu aliyopewa Lema na kuvuliwa ubunge kulikua na Member mmoja hapa akatupa Dondoo eti alikua baa pale Mianzini na akatonywa kua Lema atavuliwa Ubunge na ikawa kweli! Leo yuko wapi atupe matokeo??
Kwa ushauri wangu tu hii kesi unatuchosha bure, hapa lema hatoweza kupata kitu
Mpaka sasa sijaona standing argument za kimomogoro
Jaribuni kuwa kama watu wazima mnandika mambo ya ajabu humu kuna watumishi wa mungu jaribini kujiheshimu mwandiki vitu vyakujenga.
Ni mzoefu wa kutengeneza hoja za kijinga werevu mkawehuka!
There are currently 2181 users browsing this thread. (437 members and 1744 guests)
Hawa guests wamekuwa wengi mno wanaogopa nini??mbona registration ni bure JF
Chande: under rule 106. hata Alute anaelewa vizuri hii hoja. Alute anapewa muda wa kujibu hoja za Kimomogoro.
kwa hiyo ina maana hukumu ni leo!!
There are currently 2181 users browsing this thread. (437 members and 1744 guests)
Hawa guests wamekuwa wengi mno wanaogopa nini??mbona registration ni bure JF