ni kweli ndo maana hawajaomba sana kura kama domo kayawizkid mwaka jana alikuwa na nominations 3, hakupata hata tuzo moja...
psquare the same tuzo za mtv mara ya mwisho sijui ni lini,.. kati ya mastaa wasio na nyota na tuzo psquare wanaongoza...
Na sio kama anajiamini, yeye alishasema tuzo hazinifanyi kuwa msanii bora, kila mtu na msimamo wake..
Mbona hukumuongelea kibakuli alivyomppigia magoti wema amsaidie ktma??
na suala la kukusanya audience kwa hiyo davido na wizkid wanashindwa na dai kwa influence yakuvutia mashabiki hivi unamjujua wizkid au unamchukuliaje yule jmb acha ushabiki sema uhalisia #wizikidayo
Nahisi diamond atarudi na tuzo ila vanessa sijui
Hivi utoto utaachaga lini?
Unaboa mpaka.Muda wote unawaza ujinga ujinga....unawawaza hao hater kuliko unavojiwazia wewe na maisha yako.
Utatokwa roho bure na haya mambo ya ushabiki.
unafki upo wapi,we kweli unaishi kibororoni,ndorobomnafk kwel
Nani kakwambia maisha yangu it's all about that comment??? You are taking things so seriously imekuchoma kumoyo nin??
Moyo wangu ti ti ti unakimbiaa ina chibus voice
unafki upo wapi,we kweli unaishi kibororoni,ndorobo
Nipo binamu hapa roho inapwita huyu mbwa sijui atachukua tuzo
acha uongo ww 1.wimbo mkali kivipi unaujua marioroza (edy kenzo) unatusua huko kimataifa sasa unazungumzia ukali gani 2.kigezo cha video nzuri pia ni uongo marioroza umechukua tuzo lakini quality sifuri bet au "am i wrong" video mbovu lakini zinasumbua billboard chat 3.collabo ya daimond na ya omy dimpozi (hello baby) avril umeiskia ww
kiufupi walee jamaa msanii wa tz ukisimama mwenyewe bila niger hawakuchagui ndo kama tunavyoona vanesa na dai
Mods mods mmeanza madudu yenu kwendeniiiii huko kuna comment mbaya hapo, msiniharibie siku mie wakati nangoja tuzo